sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
- Thread starter
- #21
Ni kweli lakini inakuwa kama utoto sasa,Jamaa sio mnafiki, anafanya ile mwili wake unataka na si kuangalia binadamu wa pembeni.Sio kwamba wewe hutaki kucheza ukisikia kamuziki unakokapenda ila kinachokufanya usicheze ni ile watanionaje.