nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,199
- 6,889
Tuwe makini sana na hawa tunaowaita marafiki zetu wa faida, hawa hawa ndio hugeuka kuwa mwiba mkali katika maisha yetu hasa mkipishana kidogo kwenye masuala ya maslahi.
Rafiki huyu huyu ndio anaweza kuwa sumu ya kukuondoa hata uhai kisa maslahi, mwisho kabisa tusiwaamini sana hawa tunaowaita marafiki wa faida.
Na ikitokea wewe ni mtu wa vyombo, jitahidi sana pale unapotoka kwenda “wash room” ikitokea umeacha kinywaji mezani jitahidi sana kinywaji kile unaporudi mezani ukimwage ama fungua bia nyingine.
Huku kwenye starehe ndio tunalishwa vitu vya ajabu na marafiki ambao tumetokea kuwaamini sana katika maisha yetu hapa duniani.
Rafiki huyu huyu ndio anaweza kuwa sumu ya kukuondoa hata uhai kisa maslahi, mwisho kabisa tusiwaamini sana hawa tunaowaita marafiki wa faida.
Na ikitokea wewe ni mtu wa vyombo, jitahidi sana pale unapotoka kwenda “wash room” ikitokea umeacha kinywaji mezani jitahidi sana kinywaji kile unaporudi mezani ukimwage ama fungua bia nyingine.
Huku kwenye starehe ndio tunalishwa vitu vya ajabu na marafiki ambao tumetokea kuwaamini sana katika maisha yetu hapa duniani.