mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Kuna mtihani umenijia nashindwa kuutatua.
Nimepata mashtaka toka kwa mke wa rafiki yangu. Ni kwamba jamaa amezaa na mwanamke mwingine nje ya ndoa. Na huko inaelekea ametekwa haswaa... Maana hata mapenzi sasa yamepungua ndani ya familia.
Jamaa nikimtafuta nimuelekeze anapotezea. Kiufupi hataki mawasiliano na mimi. Shem ameomba niongee na Mumewe lakini jamaa ananikwepa. Shem ameumia na anatamani kuliwazwa lakini brother muda hana.
Hebu msaada kidogo hapa tafadhali, tusije kuingia kwenye mitego ya shetani.
Nimepata mashtaka toka kwa mke wa rafiki yangu. Ni kwamba jamaa amezaa na mwanamke mwingine nje ya ndoa. Na huko inaelekea ametekwa haswaa... Maana hata mapenzi sasa yamepungua ndani ya familia.
Jamaa nikimtafuta nimuelekeze anapotezea. Kiufupi hataki mawasiliano na mimi. Shem ameomba niongee na Mumewe lakini jamaa ananikwepa. Shem ameumia na anatamani kuliwazwa lakini brother muda hana.
Hebu msaada kidogo hapa tafadhali, tusije kuingia kwenye mitego ya shetani.