Rafiki wa kweli? Christopher Kadio ateuliwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani

Interest

JF-Expert Member
Apr 11, 2015
3,434
7,055
Ni vyema kufanya kazi na watu unaowaamini.

Rais John Magufuli amekuwa akinukuliwa mara nyingi akilalamika kuwa watendaji anaowateua wanamuangusha. Kuna wakati mpaka akahoji au hamjanielewa bado ninachokitaka?

Leo ninapoona amemteua tena rafiki yake wa muda mrefu katika nafasi nyeti ya kiutendaji Wizara ya Mambo ya Ndani, ambayo ni juzi tu alikiri ndio Wizara inayompa wakati mgumu kuliko wizara zote, basi inatoa picha kwamba anamuamini mno Christopher Kadio.

Kabla ya uteuzi huu, C. Kadio alikuwa RAS wa Mkoa wa Mwanza.

Kwa wasiomfahamu: Christopher Kadio ni yule anayeonekana akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais Magufuli ndani ya maabara wakifanya practical ya Kemia, enzi wakiwa wanasoma.

IMG-20200201-WA0001.jpg


Ndugu Kadio. Usimuangushe mheshimiwa Rais. Nenda ukafanye kazi kwa uadilifu na kuzingatia sheria. Weka urafiki pembeni.
 
Ni vyema kufanya kazi na watu unaowaamini.

Rais John Magufuli amekuwa akinukuliwa mara nyingi akilalamika kuwa watendaji anaowateua wanamuangusha. Kuna wakati mpaka akahoji au hamjanielewa bado ninachokitaka?

Leo ninapoona amemteua tena rafiki yake wa muda mrefu katika nafasi nyeti ya kiutendaji Wizara ya Mambo ya Ndani, ambayo ni juzi tu alikiri ndio Wizara inayompa wakati mgumu kuliko wizara zote, basi inatoa picha kwamba anamuamini mno Christopher Kadio.

Kabla ya uteuzi huu, C. Kadio alikuwa RAS wa Mkoa wa Mwanza.

Kwa wasiomfahamu: Christopher Kadio ni yule anayeonekana akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais Magufuli ndani ya maabara wakifanya practical ya Kemia, enzi wakiwa wanasoma.

Ndugu Kadio. Usimuangushe mheshimiwa Rais. Nenda ukafanye kazi kwa uadilifu na kuzingatia sheria. Weka urafiki pembeni.
Kaona ma Major General wana pwaya kwenye hiyo Nafasi

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Ni vyema kufanya kazi na watu unaowaamini.

Rais John Magufuli amekuwa akinukuliwa mara nyingi akilalamika kuwa watendaji anaowateua wanamuangusha. Kuna wakati mpaka akahoji au hamjanielewa bado ninachokitaka?

Leo ninapoona amemteua tena rafiki yake wa muda mrefu katika nafasi nyeti ya kiutendaji Wizara ya Mambo ya Ndani, ambayo ni juzi tu alikiri ndio Wizara inayompa wakati mgumu kuliko wizara zote, basi inatoa picha kwamba anamuamini mno Christopher Kadio.

Kabla ya uteuzi huu, C. Kadio alikuwa RAS wa Mkoa wa Mwanza.

Kwa wasiomfahamu: Christopher Kadio ni yule anayeonekana akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais Magufuli ndani ya maabara wakifanya practical ya Kemia, enzi wakiwa wanasoma.

View attachment 1343218

Ndugu Kadio. Usimuangushe mheshimiwa Rais. Nenda ukafanye kazi kwa uadilifu na kuzingatia sheria. Weka urafiki pembeni.
ni kabila gani ?
 
Ni vyema kufanya kazi na watu unaowaamini.

Rais John Magufuli amekuwa akinukuliwa mara nyingi akilalamika kuwa watendaji anaowateua wanamuangusha. Kuna wakati mpaka akahoji au hamjanielewa bado ninachokitaka?

Leo ninapoona amemteua tena rafiki yake wa muda mrefu katika nafasi nyeti ya kiutendaji Wizara ya Mambo ya Ndani, ambayo ni juzi tu alikiri ndio Wizara inayompa wakati mgumu kuliko wizara zote, basi inatoa picha kwamba anamuamini mno Christopher Kadio.

Kabla ya uteuzi huu, C. Kadio alikuwa RAS wa Mkoa wa Mwanza.

Kwa wasiomfahamu: Christopher Kadio ni yule anayeonekana akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais Magufuli ndani ya maabara wakifanya practical ya Kemia, enzi wakiwa wanasoma.

View attachment 1343218

Ndugu Kadio. Usimuangushe mheshimiwa Rais. Nenda ukafanye kazi kwa uadilifu na kuzingatia sheria. Weka urafiki pembeni.
Kadio ni rafiki yake Magu sana...Mwaka 2017 alisali nae kanisa la Wasabatho Kurasini na kumsifia sana kuwa ni rafki yake na walikuwa deka moja pia alipenda kwaya za kisabatho kwa sababu ya Kadio.
 
Kadio ni rafiki yake Magu sana...Mwaka 2017 alisali nae kanisa la Wasabatho Kurasini na kumsifia sana kuwa ni rafki yake na walikuwa deka moja pia alipenda kwaya za kisabatho kwa sababu ya Kadio.
Huu ndio urafiki sasa. Mnapeana na michongo. Sio ukifanikiwa unamuacha mtu wako mliyetoka mbali. Muhimu kazi ifanyike tu!
 
Back
Top Bottom