Mr Kazembe
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 374
- 483
closed
nipe mbinu namna gani ya kutoka bila kuonyesha nimmechukiaa... nitumie mbinu gani maana kwa kipato ninachoo...Wewe n rafiki yake lakini yeye sio rafiki yako. Mbona ni simple tu we hama kapange mwenyewe kwa umri huo kukaa masela sio rahisi kama kipato kipo kwa wote.
tumepanga nyumba sio chumba kila mtu ana chumba chakee rightUkiendekeza ndugu, utavuna magugu..
Tatizo wengi tunakuwa waoga,,, tunaogopa Chuki zisizo na msingi,, hapo unahofia what if mkagombana then baadae akawa na maisha mazuri..!?
Mchane ukweli kuwa sasa mmekuwa wakubwa na mafahari wawili hawakai zizi moja so kila mtu ajitegemee...
Wanaume kukaa wawili ni ngumu sana kwa huo umri.
tumepanga nyumba sio chumba kila mtu ana chumba chakee right