Akiongea kwa uchungu na masikitiko makubwa rafiki yake huyo kasema Hamza alikuwa mtulivu, mwema , mkarimu na mwenye upendo isiyomithilika.
Akaendelea kwa kusema "Kama roho ingekuwa inanunuliwa, ningenunua roho ya Hamza".
(Tazama clip hii kuanzia dakika ya 6:59 - 7:15 ujiridhishe ).
Akaendelea kwa kusema "Kama roho ingekuwa inanunuliwa, ningenunua roho ya Hamza".
(Tazama clip hii kuanzia dakika ya 6:59 - 7:15 ujiridhishe ).