Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,503
- 217,762
Nimeshangazwa sana na uwezo wa mchezaji huyu mkongwe na beki wa kati wa Timu ya Mexico.
Baada ya kumuona tena jana akiwa na uwezo ule ule wa miaka yote kwenye game ya Confederation cup dhidi ya Newzealand nimeshangaa sana!
Taarifa zinaonyesha kwamba alizaliwa tarehe 13/2/1979 , katika mji wa Zamora , nchini Mexico , hivi sasa ana miaka 38 lakini ndio kwanza unaweza kudhani ana miaka 20.
Ni nini siri yake ?
Baada ya kumuona tena jana akiwa na uwezo ule ule wa miaka yote kwenye game ya Confederation cup dhidi ya Newzealand nimeshangaa sana!
Taarifa zinaonyesha kwamba alizaliwa tarehe 13/2/1979 , katika mji wa Zamora , nchini Mexico , hivi sasa ana miaka 38 lakini ndio kwanza unaweza kudhani ana miaka 20.
Ni nini siri yake ?