Ni takriban miaka zaidi ya 60 imepita tangu kupata uhuru. Nyerere, raisi wa kwanza alifanya juhudi kubwa kuuondoa ukabila na kuweka utaifa mbele. Kwa hili alifanikiwa Sana.
Katika kipindi hiki, tumeshuhudia watu wa makabila mbalimbali wakioana bila shida yeyote. Lakini, moja ya athari ya umoja huu wa kitaifa ni kupotea kwa lugha za makabila yetu. Si ajabu kuona walioona wa kabila tofauti, watoto wao hawajui lugha yeyote ya wazazi wao.
Vile vile, kuenea kwa kiswahili kama lugha ya taifa kumesababisha lugha za makabila kupotea kidogo kidogo. Miaka 50 ijayo, waweza kuta ni watu wachache wanaoweza kuongea kigogo, kiha etc.
Kwa hiyo basi, napendekeza kuwa serikali iruhusu Radio/TV mbalimbali kutangaza katika lugha mbalimbali iki kutunza hizo lugha zisiotee. Na katika ngazi ya kitaifa, serikali itengeneze archive (Kama haipo ) ya lugha zote ambazo itajumuisha audio/video records za lugha, tamaduni na maandishi ya lugha mbalimbali.
Idara Itakayofanya kazi hii yaweza kujiunga na DELAMAN
About – DELAMAN
Faida kubwa ni kuwa tutatunza kwa vizazi vijacho mila, lugha, tamaduni na desturi za makabila ya nchi yetu.
Katika kipindi hiki, tumeshuhudia watu wa makabila mbalimbali wakioana bila shida yeyote. Lakini, moja ya athari ya umoja huu wa kitaifa ni kupotea kwa lugha za makabila yetu. Si ajabu kuona walioona wa kabila tofauti, watoto wao hawajui lugha yeyote ya wazazi wao.
Vile vile, kuenea kwa kiswahili kama lugha ya taifa kumesababisha lugha za makabila kupotea kidogo kidogo. Miaka 50 ijayo, waweza kuta ni watu wachache wanaoweza kuongea kigogo, kiha etc.
Kwa hiyo basi, napendekeza kuwa serikali iruhusu Radio/TV mbalimbali kutangaza katika lugha mbalimbali iki kutunza hizo lugha zisiotee. Na katika ngazi ya kitaifa, serikali itengeneze archive (Kama haipo ) ya lugha zote ambazo itajumuisha audio/video records za lugha, tamaduni na maandishi ya lugha mbalimbali.
Idara Itakayofanya kazi hii yaweza kujiunga na DELAMAN
About – DELAMAN
Faida kubwa ni kuwa tutatunza kwa vizazi vijacho mila, lugha, tamaduni na desturi za makabila ya nchi yetu.