Radio Ujerumani (Deutsch Velle - DW) Idhaa ya Kiswahili Udini Mtupu

Abubakar Liongo yuko hapo, pamoja na Sudi Nnete, Flora Nducha na Charles Hilary pia walitokea hapo kabla ya kujiunga na BBC. Pia wakongwe, Othman Miraji, Mohamed Dahmam na Sekioni Kitojo wako pale. Wengine waliopitia hapo ni Erasto Mbwana, Nasoro Nsekeli, Flarian Kaiza, Jacob Tesha na Ummie Kheri, etc, etc, sasa sijui udini gani aliotaka kuuzungumza mleta mada!.

safi kabisa,
Something to argue kwa muanzisha mada, kiukweli binafsi sioni udini kabisa kwa thread hii.
Labda!
 
mimi huwa naisikiliza kila siku na hakuna harufu ya udini hata moja ...wanaendesh mijadala yao kuanzia kina othman miraji na wengineo..sasa wewe kama una dukuduku litoe sio unatuletea fumbo hapa

Mkuu huyu,

Dizaini anatamani amsikie John au Robert ndio mtangazaji na sio Othman Miraji au Ayesha. Kweli Tanzania tuna watu waajabu bora hata huku jangwa la sahara .
 
Abubakar Liongo yuko hapo, pamoja na Sudi Nnete, Flora Nducha na Charles Hilary pia walitokea hapo kabla ya kujiunga na BBC. Pia wakongwe, Othman Miraji, Mohamed Dahmam na Sekioni Kitojo wako pale. Wengine waliopitia hapo ni Erasto Mbwana, Nasoro Nsekeli, Flarian Kaiza, Jacob Tesha na Ummie Kheri, etc, etc, sasa sijui udini gani aliotaka kuuzungumza mleta mada!.

Asante mkuu.
 
Kwa wale wasikilizaji wa mara kwa mara wa Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Ujerumani (DW) mnaonaje hakuna harufu ya udini pale? Sina haja ya kutaja udini wenye umeegemea wapi.


kwa vile imejaa waislamu watupu ndo unataka kusema kuna udini?

yaani kwa vile hakuna hata mkristo mmoja ndo unasema kuna udini?

we vipi?
 
Wakuu, Tangu mwezi wa tisa uliopita niko maeneo ambayo siipati Deoutch Welle. Ila kabla ya hapo mi ni msikilizaji mkubwa wa vipindi vyao. Naamini mtoa mada anamaanisha vipindi vyao vya mijadala na maoni. Mi binafsi nimewaandikia mara nyingi mno kuhusu jinsi wanavyoegemea upande mmoja lakini nadhani wanapokea mails nyingi mno inawezekana hawajaona za malalamiko! Ila ukweli ni kuwa vipindi hivyo nivya kidini mno. Na nina hakika wanajua wanachofanya. Japo sasa hivi bila shaka watakuwa occupied na matukio ya Tunisia, Egypt, etc... huko kukitulia watarudia 'biashara' yao.
 
Kwa wale wasikilizaji wa mara kwa mara wa Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Ujerumani (DW) mnaonaje hakuna harufu ya udini pale? Sina haja ya kutaja udini wenye umeegemea wapi.

Hivi tunamatatizo gani na udini? kila mtu hapa kuna udini, pale hivyo hivyo na sasa wewe umesikia mpaka harufu!

Kuwa makini na mitazamo yenu???????

 
Mara chache nasikiliza Radio Ujerumani lakini kuna siku nimesikiliza Othman Miraj ana mrengo wa kutetea Uislamu na kubeza nchi za magharibi kama kuna inaweza kuwa hilo jamaa anamezwa sana na hoja ya uislamu ingawa ni mchambuzi mzuri. Ingawa nilimsikiliza cku moja lakini ndivo nivomsoma mimi.
 
Jamani, naomba nitofautiane na wachangiaji wengi katika mada hii. Mimi sifichi ni msikilizaji mzuri wa DW hasa kipindi cha mijadala ya kisiasa na kiuchumi. Mara nyingi sana mijadala hiyo imekuwa na mlengo wa kubeza nchi za magharibi na kusifia nchi za kiarabu. In fact, hata wazungumzaji kwenye mada wengi wao utasikia wanazungumza kwa njia ya simu kutoka Oman, Jordan, Iran, nk. Wakiongelea masuala ya kijamii utaona wanazungumzia jinsi waislam wanavyoishi kwenye nchi zilizo na idadi kubwa ya wakristo kama Ujerumani. Wakati ule ambapo Mdenmark alipochora katuni za kudhihaki/kukashifu uislam DW ilishambulia sana na kuhoji waislam kuona misimamo yao.

Mimi najiuliza hivi pale DW dini ni uislam tu!! Inawezekana hicho ndicho anachoongelea Dumelambegu.
 
Back
Top Bottom