Itakua cameraMkuu hiyo avatar yako sijajua kwanini inanichekesha
Ana kijana wake anapiga vyombo hatar na malaya wa kutoshaUsanii tu, juzi juzi mkurugenzi alikuwa India anatibiwa (wao maombi hayawaponyi), Mkurugenzi ni tajiri toka alipokuwa auditor wa beer, Mzee, watoto wamekuwa, ila Ana gorofa zaidi ya 10 Njiro hazijamaliziwa finishing!
Tamaa tu na sadaka za wauza Mbona mboga wasiojielewa; haya mambo magumu sana, Mimi mke wangu akienda huko hatorudi nyumbani kwangu tena! Akae huku huko!
Heri hata ulikataa asikuwekee mikono yao kichwan sababu kuna uwezekano wakukupandikiza mapepoWale mimi siwaamini hata kdg maana wamekuja sana pale nyumbani, bibj kila siku kuwaekea mafuta kwenye magari yao waje wafanye maombi home lkn usanii mtupu
Siku nimeamini hawana lolote ilikua hivi nimemtumia mtoto wa mamdgo picha nimevaa baibui na nipo na mtoto na nimejitanda mtandio mweusi sasa bibi alikua hajamuona mtoto wangu kwa muda kwa sababu sikua nnimeenda arusha kama 3 yrs, yule mtoto wa mdg akamuonesh bibi ile pic ya mimi na mtoto basi bibi kamind kwa nini nimevaa kiislam lkn kamaind kimy kimya suluhisho ikawa ampigie huyo bariki wa safina kamuelezea alivoona pic yangu na muonekano nliokua nao,. Few months later nikaenda arusha , kma kawaida kawaekea mafuta kuja hom mimi nipo rum nasikia wanaongea baadae naitwa nimsalimie bariki, akaanza propaganda kaoneshwa na roho mtakatifu usiku wa jana yake nimevaa baibui na makorokoro kibao yasiyo na maana basi anahitji aniombee roho chafu sijui inayo niandama itoke, mimi nikamwambia i worship the true God ambae sio mpka nipitie wewe ndo anisafishe , binafsi nikimwita namwona kweny maisha yangu tena kwa ukubwa mno, akendeleza tararira zake pale baada ya kuona hana hoja akasema tumshukuru Mungu, nikaona mambo yasiwe mengi akaomba hata dakika mbili hazikuisha ila kama sio nilikaza nahisi angenieke mapepo yeye maana anakuona we mchafu ye msafi
Kwa kifupi walokole wote ni matapeliKwa aliyeanzisha huu Uzi, na kila aliyechangia (Nikiwemo Mimi), Tujiulize Swali hili la Bonny Mwaitege...
"Utanitambuaje Kama nimeokoka?"
Ukiwa mwanachama kindaki ndaki na ukiwa unawapa viela vya nauli, ndizi shambani zikikomaa unawaza kuwapa wao, lazima waje unakua staff😂😂😂😂😂Kwani safina wanaemdaga nyumbani kwa watu
Mbona kama hapa na ww umetukanyaga
Kwani safina wanaemdaga nyumbani kwa watu
Mbona kama hapa na ww umetukanyaga
Acheni kujipa matumaini na mambo ya kijinga eti laana, huyo jamaa wa safina anafanya biashara kama biashara nyingine, mbona mmeshindwa kunuombeaAcha kujitafutia laana bure wewe na kizazi chako chote kwa kuandika usivyovijua. Kwenye haya mambo ya rohoni wewe ni kipofu, so mengine yakupite tu.
Kweli kabisa mkuu, wote ni matapeli.Kwa kifupi walokole wote ni matapeli
Yani baada ya kuona hana hoja ndo akasema tuombe shukran kwa Mungu lkn lazima alijuta kuonana na mimi na nadhani baada ya kuondoka watakua walikutana waombe tena pamoja kuniondolea mapepo😂😂😂😂Heri hata ulikataa asikuwekee mikono yao kichwan sababu kuna uwezekano wakukupandikiza mapepo
Ana kijana wake anapiga vyombo hatar na malaya wa kutosha
Sio wote ni matapeli. Katikati ya matapeli wapo watumishi wa kweli wa Mungu aliye hai.
Kweli kabisa mkuu, katikati ya matapeli wapo watumishi wa kweli wa Mungu aliye hai.Sio wote ni matapeli. Katikati ya matapeli wapo watumishi wa kweli wa Mungu aliye hai.
kwa nini amewaacha waendelee kufabya hayo au hana uwezo wa kuwateketeza ?shetani ni roho hana mwili ana malaika zake/pepo wacha/roho chafu nazo hazilali kwa kuwa hazina miili.
Hizi roho chafu zinaishi kwa watu wachafu kama wazinzi, walevi, wezi, wachawi, wafiraji, waabudu sanamu, wenye husuda, wachonganishi n.k Ila zikikemewa kwa jina la YESU zinatoka kwenda kutafuta makazi mengine.
Makanisa ya kina buldiza yanajaza wanawake Kwa vile wanawake wanatafta solutions za shida nyingi walizonazo plus uchungu na kutelekezwa na wanaume ni Rahisi mtu kudondoka kwa mApepo vile ana uchungu siku wanaume wakiwa responsible na jamii kumpunguzia mzigo mwanamke wa ulezi na mApepo ya wanawake yataishasasa kama ni uongo, mbona ninyi kina mama na wanawake ndo mnaongoza kudondoka kwa mapepo, makanisani mwao? na ndo huwa mnajaza makanisa yao.