Uchumi wa Kati
Member
- Jul 3, 2020
- 29
- 63
Hivi masharti ya leseni ya urushaji matangazo ya redio ya TCRA inaruhusu vituo vya redio kuwa na michezo ya kubahatisha/kamari?
Maana kila redio ina kamari yake, Efm ,Clouds FM,Wasafi na sasa Radio One( Mchezo Supa).
Watangazaji wa redio hizo kila kipindi wamekuwa wanachezesha droo mwisho wa kipindi baada ya kuwashawishi wasikilizaji wao watume pesa tsh 1000 kupitia mitandao ya simu.
Baada ya kupatikana mshindi wanampigia simu live redioni na kumtaarifu ameshinda pesa.
Swali langu hivi vituo vya redio imekuwaje vinachezesha kamari havioni vinawakwaza baadhi ya wasikilizaji ambao dini zao kamari ni haramu? Mathalani dini ya Kiislam kamari ni haramu na dhambi kubwa.
Hivi vituo vya redio vijitathmini.
Maana kila redio ina kamari yake, Efm ,Clouds FM,Wasafi na sasa Radio One( Mchezo Supa).
Watangazaji wa redio hizo kila kipindi wamekuwa wanachezesha droo mwisho wa kipindi baada ya kuwashawishi wasikilizaji wao watume pesa tsh 1000 kupitia mitandao ya simu.
Baada ya kupatikana mshindi wanampigia simu live redioni na kumtaarifu ameshinda pesa.
Swali langu hivi vituo vya redio imekuwaje vinachezesha kamari havioni vinawakwaza baadhi ya wasikilizaji ambao dini zao kamari ni haramu? Mathalani dini ya Kiislam kamari ni haramu na dhambi kubwa.
Hivi vituo vya redio vijitathmini.