Binafsi kwa muda sasa nimekuwa na scan kupata kusikia radio za nje zinazotangaza matangazo yake kwa lugha ya kiswahili
Leo zote nizijuazo hakuna hata moja hata baina ya zilizo kuwa zinaendelea kurusha iliyorusha matangazo hayo hapa nchini
Tuelezane jamani au ndiyo ile munda ya TCRA inazidi kukamata vilivyo kuelekea Oct 28?
Leo zote nizijuazo hakuna hata moja hata baina ya zilizo kuwa zinaendelea kurusha iliyorusha matangazo hayo hapa nchini
Tuelezane jamani au ndiyo ile munda ya TCRA inazidi kukamata vilivyo kuelekea Oct 28?