Ajabu ndiyo hiyo kaka, yani kwenye mambo muhimu tunachinjiana baharini lakini kwenye mambo hovyo kama haya eti tumeungana!
mambo ya hovyo ni yapi wewe?
Siasa siyo mambo ya hovyo..ni mambo muhimu sana, ukiacha siasa kufanywa na watu wa hovyo ndio mambo kuvua mitandio inakuwa sheria!