Natafuta contact za Managing Director au Programming Manager wa Radio Free Africa. Nina business proposal nataka kumwagia sera. Nitashukuru kwa msaada.
kwa nini usicheck number za ofisi katika mtandao wao, bila shaka itakua general line lakini ukiitwanga hiyo watakwambia namna ya kuwapata hao raia. . . ni wazo tu!
kwa nini usicheck number za ofisi katika mtandao wao, bila shaka itakua general line lakini ukiitwanga hiyo watakwambia namna ya kuwapata hao raia. . . ni wazo tu!
Uswe, shukran kwa wazo. Ningeweza kupiga simu direct line, lakini nimejifunza kwamba Bongo ni "who you know, not what you know". Kwa hiyo nilikuwa natafuta direct connection na hao jamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.