AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,658
- 2,804
Nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa hii radio na radio nyinginezo,moja ya shida ambayo wasimamizi wa matangazo ambayo na amino ni kutokana na kuwa na shule kidogo ni juu ya kucheza matangazo.
Utakuta kuna kipondi kinaendelea labda habafi za ulinwengu za DW au BBC hawa watu badala ya kuzingatia weledi was Nazi,wanacheza matangazo wakati habari inaendelea .
Yani unasikiliza majadala wa maana ghafla unashangaa tangazo,au unakuta wimbo unacheza redion katikati linachezwa tangazo.
Yani huu ni usamba wa hali ya juu.
Acheeenii hizoo ,huu sio uungwana.
Utakuta kuna kipondi kinaendelea labda habafi za ulinwengu za DW au BBC hawa watu badala ya kuzingatia weledi was Nazi,wanacheza matangazo wakati habari inaendelea .
Yani unasikiliza majadala wa maana ghafla unashangaa tangazo,au unakuta wimbo unacheza redion katikati linachezwa tangazo.
Yani huu ni usamba wa hali ya juu.
Acheeenii hizoo ,huu sio uungwana.