Baba Ndumbwi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 430
- 689
Kwenye mfumo wa thermostat kuna bypass valve inafanya kazi hiyoWakati maji hayazunguki na huku water pump inatembea kama ulivyosema, NINI KINAFANYA PRESSURE ISIPASUE PIPE ZA MAJI!?
Kwenye mfumo wa thermostat kuna bypass valve inafanya kazi hiyoWakati maji hayazunguki na huku water pump inatembea kama ulivyosema, NINI KINAFANYA PRESSURE ISIPASUE PIPE ZA MAJI!?
Are you sure!?Kwenye mfumo wa thermostat kuna bypass valve inafanya kazi hiyo
YesAre you sure!?
Mkuu Tractor , kama alivyosema stoplight hapo juu, inaelekea wewe hauielewi vizuri feni inavyofanya kazi.
Ukiwasha AC inaanza kufanya kazi pale pale. Kwa maana AC inahitaji mzunguko wa hewa na ile feni ndio itasaidia.
Ukiwa haujawasha AC, ila ukawasha gari feni haianzi kuzunguka mara moja. Ila hadi engine ipate joto, then computer ya gari ikishajua engine imevuka joto fulani (mfano 80 centigrade), inamuambia water pump aanze kuzungusha maji yakapooze engine. Sada yale maji yaliyotoka kupooza engine nayo yanakuja kwenye radiator yanapozwa na ile feni.
Feni inakua na speed ndogo ukiwa maeneo yenye baridi sana na gari ikiwa kwenye mwendo kwakua ule upepo unaokutana nao ukiwa kwenye mwendo inasaidia kupooza.
Mzungu noma aisee.
Tafuta thermostat ingine uirudishie hio mbovu uliyoitoa...Haikuwa na shidamkuu nimetoa thermostat