Radha ya kugongwa na nyoka ni amazing sana

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,551
Nyoka ana meno 4 ; 2 chini na 2 juu ambayo ndiyo yenye vijitundu vya kupitosha sumu yake inayoruka ama kunyunyiziwa kama dawa ndani ya sindano.

Nyoka akikugonga maana ake anaacha meno yake sehemu alipokugongea na kukutemea sumu yake. Kwakuwa meno yake huwa yamepinda, anapokugh'ata ghafla akitaka kulimbia, anajikuta kutoa meno yake inakuwa kazi maana yamepinda kwa ndani , hivyo hutoka kwa kuyang'oa / kuyakwanyua.

Hapo nae huchanganyikiwa na maumivu na kuishiwa nguvu ambapo mwisho wa siku huanza kutapatapa.

Akikugonga ni kama mtu kakuchoma sindano au mwiba mkali bila ruhusa yako (kisirisiri). Kuna kauchungu fulani kadogo tu anapokugonga , hatoki na nyama.

Ni radha fulani amazing sana !

Share namna ulivyogongwa na nyoka na uligongwaje . Na nyoka wa aina gani?
 
Kwahyo mkuu we unapenda kugongwa na nyoka, ungekuja hapa ninae nyoka mkali kweli kweli hutojutia akikugonga
 
Nyoka ana meno 4 ; 2 chini na 2 juu ambayo ndiyo yenye vijitundu vya kupitosha sumu yake inayoruka ama kunyunyiziwa kama dawa ndani ya sindano.

Nyoka akikugonga maana ake anaacha meno yake sehemu alipokugongea na kukutemea sumu yake. Kwakuwa meno yake huwa yamepinda, anapokugh'ata ghafla akitaka kulimbia, anajikuta kutoa meno yake inakuwa kazi maana yamepinda kwa ndani , hivyo hutoka kwa kuyang'oa / kuyakwanyua.

Hapo nae huchanganyikiwa na maumivu na kuishiwa nguvu ambapo mwisho wa siku huanza kutapatapa.

Akikugonga ni kama mtu kakuchoma sindano au mwiba mkali bila ruhusa yako (kisirisiri). Kuna kauchungu fulani kadogo tu anapokugonga , hatoki na nyama.

Ni radha fulani amazing sana !

Share namna ulivyogongwa na nyoka na uligongwaje . Na nyoka wa aina gani?
Radha.... Lugha mbofumbofu kabisa

Crap
 
Nyoka ana meno 4 ; 2 chini na 2 juu ambayo ndiyo yenye vijitundu vya kupitosha sumu yake inayoruka ama kunyunyiziwa kama dawa ndani ya sindano.

Nyoka akikugonga maana ake anaacha meno yake sehemu alipokugongea na kukutemea sumu yake. Kwakuwa meno yake huwa yamepinda, anapokugh'ata ghafla akitaka kulimbia, anajikuta kutoa meno yake inakuwa kazi maana yamepinda kwa ndani , hivyo hutoka kwa kuyang'oa / kuyakwanyua.

Hapo nae huchanganyikiwa na maumivu na kuishiwa nguvu ambapo mwisho wa siku huanza kutapatapa.

Akikugonga ni kama mtu kakuchoma sindano au mwiba mkali bila ruhusa yako (kisirisiri). Kuna kauchungu fulani kadogo tu anapokugonga , hatoki na nyama.

Ni radha fulani amazing sana !

Share namna ulivyogongwa na nyoka na uligongwaje . Na nyoka wa aina gani?
Kwahio unataka kuniambia huyo nyoka aliekuuma ni mapengo saivi?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom