Tutorial 1X
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,908
- 2,036
mkuu unauza dawa za kienyeji kwani?
usisahau wengine humu ni watu wazima wenzako.....pia yawezekana humjui jamaa uliemuongelea.Niliwahi kugonga na Black Mamba watatu nikiwa porini hakika sitasahau.
Unawaza tu kifo aliyekwambia kila ukigongwa na black mamba unakufa nani? Acha dhana potofu kuwa mtu mzima basi. Wewe umemjuaje ingali u hai.usisahau wengine humu ni watu wazima wenzako.....pia yawezekana humjui jamaa uliemuongelea.
Jamani Subila kawamiss sana humu na Dura nasema umpe namba yake/yako.
Ata kuwa ni yule bwana abdalah kichwa wazi.Unaongelea nyoka Gani mkuu huyu huyu au wa kwenye suruali
Nipe basi nimpelekee namba zako nikienda Desemba.Mwambie dura atafute tu huko ukerewe na nyegezi.. Mi wa dar haniwezi
Nipe basi nimpelekee namba zako nikienda Desemba.
Kha!Hawakukuacha na mimba?
nakutania
sina simu
Nipe S. L. P lako.
Wewe black mamba!Niliwahi kugonga na Black Mamba watatu nikiwa porini hakika sitasahau.
Wewe black mamba!
mamba weusi watatu ungekuwa ahera mapema tu labda green mamba angalauNiliwahi kugonga na Black Mamba watatu nikiwa porini hakika sitasahau.
Mwanamke wa Dar ukose simu kazi kununua madera na shanga.Sina
Unaongelea nyoka Gani mkuu huyu huyu au wa kwenye suruali
mamba weusi watatu ungekuwa ahera mapema tu labda green mamba angalau
Black mamba....tena watutu...na bado wewe ndio unaandika hapaNiliwahi kugonga na Black Mamba watatu nikiwa porini hakika sitasahau.