Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,732
- 14,624
Oohooo!! Milele tena?Akili yako inawaza kifo. "nilipata kuoneshwa na bibi dawa moja hivi hata ung'atwe na vampire utakuwa mzima milele"
Oohooo!! Milele tena?Akili yako inawaza kifo. "nilipata kuoneshwa na bibi dawa moja hivi hata ung'atwe na vampire utakuwa mzima milele"
Afu wewe dogo......ntakutomvyola kwenye jicho....mtizameMnautani nyie danganyaneni huko ukigongwa na nyoka utatoa kinyesi wewe
Oohooo!! Milele tena?
Akili yako inawaza kifo. "nilipata kuoneshwa na bibi dawa moja hivi hata ung'atwe na vampire utakuwa mzima milele"
Nani kakwambia black mamba mweusi?,ndio maana nilikwambia kuwa huyu mheshimiwa wew humjui hata kidogo!mdomo wake kwa ndani ndio huwa mweusiWatatu weusi, kuna dawa moja nilipata kuoneshwa na bibi yangu hata wakugonge 20 ili mradi uwe umewahi kutafuna hiyo dawa hudhuriki.
Nakwambia mimi ambaye nilikuwa mhanga wa mkasa huo. Black Mamba weusi watatu.
Hahahaaa umeuaAfu wewe dogo......ntakutomvyola kwenye jicho....mtizame
Mmmh!!Niliwahi kugonga na Black Mamba watatu nikiwa porini hakika sitasahau.
na bado unasurviveNiliwahi kugonga na Black Mamba watatu nikiwa porini hakika sitasahau.