Katika ripoti yao SFO walisema ukiachia pesa alizowekewa kwenye account zao CHENGE NA IDRISA RASHID kuna pesa zingine
zilitumwa USWISS kwenye account za watu ambao hawakuweza kuwatambua kulingana na sheria za kibenki za nchi hizo sasa
ombi letu kwa wabunge "wenye uchungu" mkimaliza kudai pesa zetu hapo London muelekee na USWISS pia mkadai pesa zetu
zilizotumwa huko. wadau naomba mnisaidie kwanini serikali yetu inaogopa kumdai pesa zetu vithlani pamoja na kuthibitika kutuibia ??
zilitumwa USWISS kwenye account za watu ambao hawakuweza kuwatambua kulingana na sheria za kibenki za nchi hizo sasa
ombi letu kwa wabunge "wenye uchungu" mkimaliza kudai pesa zetu hapo London muelekee na USWISS pia mkadai pesa zetu
zilizotumwa huko. wadau naomba mnisaidie kwanini serikali yetu inaogopa kumdai pesa zetu vithlani pamoja na kuthibitika kutuibia ??