Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Leo Rais Mwai Kaibaki na Raila Odinga wamekubaliana kuwaondoa mawaziri wanaoonekana kuanza kampeni za urais 2012, ambao wote wanetoke chama cha ODM akiwemo mshakiwa wa ICC Mh William Ruto. Mkuu wa kaya anasubiri nini kwa wote wanaoanza kampeni za 2015? Tanzania tuna safari ndefu.
Nawashilisha
Ooooops sorce: Citizen TV
Nawashilisha
Ooooops sorce: Citizen TV