johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,790
- 141,684
Mwenyekiti wa Uda Transit amesema mradi wa Dart unakaribia kukamilika na wao wanatarajia kuanza kutoa huduma january 10, 2016. Amesema mabasi yao mapya ya kisasa capacited to carry 80 and 150 psgs yapo tayari kulihudumia jiji la Dar.
Chanzo: Startv habari
Wito wangu wahakikishe kabisa taratibu za kikodi kwa hayo mabasi zinazingatiwa ipasavyo kutuepusha na usumbufu wowote sisi abiria endapo HAPA KAZI TU itayafikia.
Ahsante!
Chanzo: Startv habari
Wito wangu wahakikishe kabisa taratibu za kikodi kwa hayo mabasi zinazingatiwa ipasavyo kutuepusha na usumbufu wowote sisi abiria endapo HAPA KAZI TU itayafikia.
Ahsante!