Hivi R, L na H, ni Ugonjwa wa Taifa?

Kipi sahihi hapo?
Yote yako sahihi ila inategemea unayatumiaje

"Kuonesha" linatokana na mizizi wa neno "Ona"
Ona=Onesha,Maonesho,Kuonesha n.k
Kwahiyo pale Sabasaba huwa mnaenda kwenye Maonesho na sio Maonyesho!

"Kuonyesha" linatokana na neno "Onya"
Onya=Onyesha,Maonyesho,Kuonyesha n.k
 
Yote yako sahihi ila inategemea unayatumiaje

"Kuonesha" linatokana na mizizi wa neno "Ona"
Ona=Onesha,Maonesho,Kuonesha n.k
Kwahiyo pale Sabasaba huwa mnaenda kwenye Maonesho na sio Maonyesho!

"Kuonyesha" linatokana na neno "Onya"
Onya=Onyesha,Maonyesho,Kuonyesha n.k
Ooh ahsante
 
Bu definition wewe ndio zero brain zaidi

Maana unakaa siku nzima unabishana na zero brain!

I’m zero brain,ila unatumia muda wako na bando lako kijibizana na mimi,I command your respect!

Nikikwambia simama,unasimama,nikisema ruka,unaruka!

Wewe ndio zero brain zaidi kama unafata my commands na unakaa siku nzima kujibizana na mimi!

Lay down!
Akili ya sifuri kazi kwelikweli, Majibu yangu hayazidi sentensi tano, ndio siku nzima? Ndio kujibizana huko ? Wewe ni mshamba mshamba fulani hivi , huna jipya.
 
Sio hizo tu kuna uandishi mwingi unakosewa
Kama Mungu - mungu ,Tanzania -tanzania nk
Kuna wale wasiojua kumalizia maneno kama niamb/Twend/wew/vip
 
Akili ya sifuri kazi kwelikweli, Majibu yangu hayazidi sentensi tano, ndio siku nzima? Ndio kujibizana huko ? Wewe ni mshamba mshamba fulani hivi , huna jipya.

“Majibu yangu hayazidi sentensi tano” and blah blah blah!

Get’outta here!

Sentensi tano umesema wewe binafsi!

Kwanini isiwe sentensi mbili au tatu au kumi?

Wewe nani uweke kipimo ni sentensi tano?

Ni ubongo wako ulio na mavi ndio umesema sentansi tano ni kipimo kidogo!


Keep those in your head!

Mshamba wewe unaejibizana na mshamba mimi!

Asie na jipya ni wewe unaeongea na asie na jipya mwenzio!

Ungekua na akili nyingi sana unazojidai nazo hapa usingekua na muda wa kuandikiana na mwenye akili ndogo!

Ila huwezi,nikisema harisha,unaharisha!

Jinga zaidi ni wewe!
 
“Majibu yangu hayazidi sentensi tano” and blah blah blah!

Get’outta here!

Sentensi tano umesema wewe binafsi!

Kwanini isiwe sentensi mbili au tatu au kumi?

Wewe nani uweke kipimo ni sentensi tano?

Ni ubongo wako ulio na mavi ndio umesema sentansi tano ni kipimo kidogo!


Keep those in your head!

Mshamba wewe unaejibizana na mshamba mimi!

Asie na jipya ni wewe unaeongea na asie na jipya mwenzio!

Ungekua na akili nyingi sana unazojidai nazo hapa usingekua na muda wa kuandikiana na mwenye akili ndogo!

Ila huwezi,nikisema harisha,unaharisha!

Jinga zaidi ni wewe!
Maneno meengi , unajieleza nini ? Unaomba kazi ? Mshamba tyu wewe.
 
Maneno meengi , unajieleza nini ? Unaomba kazi ? Mshamba tyu wewe.

Kiswahili sahihi kinakupiga chenga:

Tyu=Tu

Waomba kazi ni nyie wapumbavu!

Watu wote tulio na akili ni wafanyabiashara!

Sijawahi omba kazi tangu nije duniani hapa,mimi ndio natoa ajira kwa kenge kama wewe!

Mshamba bibi yako!

Maneno mengi ni yangu,sio yako!

Jisimamie na ujipe amri wewe mwenyewe!
 
Kiswahili sahihi kinakupiga chenga:

Tyu=Tu

Waomba kazi ni nyie wapumbavu!

Watu wote tulio na akili ni wafanyabiashara!

Sijawahi omba kazi tangu nije duniani hapa,mimi ndio natoa ajira kwa kenge kama wewe!

Mshamba bibi yako!

Maneno mengi ni yangu,sio yako!

Jisimamie na ujipe amri wewe mwenyewe!
Huna jipya , akili ndogo , maneno mengi yasio na tija , ni uzwazwa na ushamba ndio unaokusumbua, umuajiri nani wewe mshamba ,stup*d.
 
Huna jipya , akili ndogo , maneno mengi yasio na tija , ni uzwazwa na ushamba ndio unaokusumbua, umuajiri nani wewe mshamba ,stup*d.

Naajiri binadamu wanao pumua kama wanadamu wengine!

Nikuajiri wewe kama wewe hata bure sifanyi!

Siwezi ajiri taahira!

Maneno mengii,ni yangu,au unayaonea wivu!

Kama unaona wivu,go ahead,kill yourself and bury yourself!

Zwazwa bibi yako mzazi!

Mshamba matak0 yako binafsi!
 
Naajiri binadamu wanao pumua kama wanadamu wengine!

Nikuajiri wewe kama wewe hata bure sifanyi!

Siwezi ajiri taahira!

Maneno mengii,ni yangu,au unayaonea wivu!

Kama unaona wivu,go ahead,kill yourself and bury yourself!

Zwazwa bibi yako mzazi!

Mshamba matak0 yako binafsi!
Hahahaaaaa,Uko kwenye heat wewe , tafuta bwana akutulize mtoto wa kike , usitupigie kelele, pumbaf.
 
Naajiri binadamu wanao pumua kama wanadamu wengine!

Nikuajiri wewe kama wewe hata bure sifanyi!

Siwezi ajiri taahira!

Maneno mengii,ni yangu,au unayaonea wivu!

Kama unaona wivu,go ahead,kill yourself and bury yourself!

Zwazwa bibi yako mzazi!

Mshamba matak0 yako binafsi!
Hahahaaaaa,Uko kwenye heat wewe , tafuta bwana akutulize mtoto wa kike , usitupigie kelele, pumbaf.
 
Naamini wana JF wote mpo sawa. JF imepata bahati kuwa na waandishi au wadadavuaji wazuri sana.

Lkn wapo ambao wanasumbuliwa na Maneno 'R' na 'L'. Baadhi hawajui R watumie wapi na L waweke wapi. Kuna mwana JF kaandika lais JPM badala ya rais JPM.

Mwingine kaandika jambo lahisi...badala ya jambo rahisi.Mwingine kaandika mahali 'namshukulu Mungu,' badala ya 'namshukuru Mungu'.

Wapo pia wanaotatizwa na neno 'hawezi kufika' wakiandika 'awezi kufika'.

Nia yangu ya kuandika uzi huu ni kwamba, tusome vizuri uzi za wadadavuaji wa JF ambao tunawajua wako vizuri kwenye kiswahili maana Elimu haina mwisho.


R na L unamaanisha Reft na Light au kushoto na kuria?
 
Pengine ni mwendelezo wa mgomo baridi wa walimu... maana haiingii akilini kuona asilimia kubwa ya wahitimu wa 'dotkom' wakiwa hawajui kuandika vizuri. Zifanyike tafiti ili kubaini chanzo cha hili tatizo kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
 
Hahahaaaaa,Uko kwenye heat wewe , tafuta bwana akutulize mtoto wa kike , usitupigie kelele, pumbaf.

Unaedai eti ana heat ni mwingine,ila anaepiga makelele ni wewe!

Duh!

Ni maajabu unamuita mwanaume ni wa kike,wakati ni mwanaume!

Is your brain na organ zako za utambuzi functional kweli!?
 
Unaedai eti ana heat ni mwingine,ila anaepiga makelele ni wewe!

Duh!

Ni maajabu unamuita mwanaume ni wa kike,wakati ni mwanaume!

Is your brain na organ zako za utambuzi functional kweli!?
Wanaume hawana kelele , kama wewe ni mwanaume basi si riziki,
 
Back
Top Bottom