Hivi R, L na H, ni Ugonjwa wa Taifa?

Umeondoa maneno "bahati mbaya" kwenye kauli.

Kiranga unatembea na marking scheme huku jukwaani!? Nimekuambia sihitaji kupata ushindi kwenye hoja hii maana kuna hoja nyingi tu naweza kutafutia ushindi, na ili uibuke mshindi nikakupa na ushindi mapema kabisa. Ila ukweli unabaki kuwa kuna watu wanaathiriwa na lugha zao za utotoni, kiasi ukubwani hushindwa kutamka baadhi ya herufi, hili halijalishi ni bahati mbaya, uzembe au nini lakini habari ndio hiyo.
 
Kiranga unatembea na marking scheme huku jukwaani!? Nimekuambia sihitaji kupata ushindi kwenye hoja hii maana kuna hoja nyingi tu naweza kutafutia ushindi, na ili uibuke mshindi nikakupa na ushindi mapema kabisa. Ila ukweli unabaki kuwa kuna watu wanaathiriwa na lugha zao za utotoni, kiasi ukubwani hushindwa kutamka baadhi ya herufi, hili halijalishi ni bahati mbaya, uzembe au nini lakini habari ndio hiyo.
Hata mimi sihitaji ushindi.

Na kama unaona nahitaji ushindi na ushanipa ushindi kwa nini unaendelea kunijibu?
 
Naamini wana JF wote mpo sawa. JF imepata bahati kuwa na waandishi au wadadavuaji wazuri sana.

Lkn wapo ambao wanasumbuliwa na Maneno 'R' na 'L'. Baadhi hawajui R watumie wapi na L waweke wapi. Kuna mwana JF kaandika lais JPM badala ya rais JPM.

Mwingine kaandika jambo lahisi...badala ya jambo rahisi.Mwingine kaandika mahali 'namshukulu Mungu,' badala ya 'namshukuru Mungu'.

Wapo pia wanaotatizwa na neno 'hawezi kufika' wakiandika 'awezi kufika'.

Nia yangu ya kuandika uzi huu ni kwamba, tusome vizuri uzi za wadadavuaji wa JF ambao tunawajua wako vizuri kwenye kiswahili maana Elimu haina mwisho.
Mimi nilifikiri unazungumzia R na L za kwenye Gari
 
Hata mimi sihitaji ushindi.

Na kama unaona nahitaji ushindi na ushanipa ushindi kwa nini unaendelea kunijibu?

Nina kujibu maana sina cha kupoteza na sina popote nilipokupora ushindi wako. Kuna shida kwenye hilo boss?
 
Kadhalika kuna;

Dh na Z
Th na S
Madhumuni - Mazumuni
Maudhi - Mauzi
Dhuru - Zuru
Thamani - Samani
Athirika - Asilika
Mathayo - Masayo
Themanini - Semanini
Theluthi - Selusi
 
Back
Top Bottom