Naomba kujuzwa... alipofariki hayati Nyerere... South Africa walishusha bendera nusu mlingoti.....?
Naombeni jibu... ?
Hii nayo ni joke?Naomba kujuzwa... alipofariki hayati Nyerere... South Africa walishusha bendera nusu mlingoti.....?
Naombeni jibu... ?
Mandela alikuja baada kama ya wiki 2 hivi. alinikuta uwanja wa ndege mwanza. wakampa chopa kwendea butiama
Alikukuta unafanya nini? na wewe ulikuwa hapo kama nani hadi mandela akukute?