R.F.A inasikilizwa kila mtaa, kila kijiji wanafeli wapi?

Victor wa happy

JF-Expert Member
Apr 24, 2013
11,660
11,641
Hii redid rfa ndio redio pekee inayofika kila kijiji cha nchi hii inazidi hata TBC redio

Ni redio inasikilizwa sana, sina takwimu sahihi ila ni redio ambayo ni miongoni mwa redio inayosikilizwa sana pengine kuliko redio yeyote nchini, ni redio inayosikilizwa na kila rika kila aina ya watu waelewa wa mambo na wale wasiojua mambo mengi

Ukipita mtaani rfa inaunguruma Je inakwama wapi kibiashara? Angalia redio changa zinasikika mkoa mmoja tu wa dar es salam zinajiendesha kwa faida lkn rfa tunaambiwa hata wafanyakazi hawapati mishahara yao (kutolipa wafanyakazi mishahara ni hatua ya mwisho kufilisika

Ndugu dialo anakwama wapi? Mimi nafahamu dialo anaukwasi wa kutosha tu kwanini asiajiri mtu atakayekuja kuendesha kampuni kwa faida!!

Kuna vijana wapo mtaani wamebobea kwenye kurun kampuni ambao ukiwapa nafasi lazima ndani ya miaka miwili uanze kuona matunda

Jifunze kwa kwa vyombo Kama IPP na clouds media ambao walikubali kufuata mtiririko wa kitaalamu kuendesha kampuni

Hiyo Sahara ukiwauzia watu wanaojua biashara ndani ya miaka mitano utaona jinsi biashara inafyofanywa
 
Ukifika pale sahara ilemela ndo utajuwa kuwa huyu Hamas ana pesa sana na kawekeza vizur sana shida inakuja kuwa yeye ndo mwenye radio yeye ndo mkurungenz yeye ndo meneja na hata mishahara halipi

Lakin jamaa ana pesa sana sijui hata ana kwama wapi huyu mwamba wa kisukuma
 
Hii ni redio kongwe inatakiwa iwe mfano kwa redio zinazochipukia lakini yeye ndio amekuwa mfano mbaya
Ukifika pale sahara ilemela ndo utajuwa kuwa huyu Hamas ana pesa sana na kawekeza vizur sana shida inakuja kuwa yeye ndo mwenye radio yeye ndo mkurungenz yeye ndo meneja na hata mishahara halipi

Lakin jamaa ana pesa sana sijui hata ana kwama wapi huyu mwamba wa kisukuma
 
Akitokea mpuuzi mmoja akanunua ile radio na aje na mikakati mizuri atarudisha hela yake mapema sana.

R. F. A siku hizi imekuwa radio ya kata.
 
Hii redid rfa ndio redio pekee inayofika kila kijiji cha nchi hii inazidi hata TBC redio

Ni redio inasikilizwa sana, sina takwimu sahihi ila ni redio ambayo ni miongoni mwa redio inayosikilizwa sana pengine kuliko redio yeyote nchini, ni redio inayosikilizwa na kila rika kila aina ya watu waelewa wa mambo na wale wasiojua mambo mengi

Ukipita mtaani rfa inaunguruma Je inakwama wapi kibiashara? Angalia redio changa zinasikika mkoa mmoja tu wa dar es salam zinajiendesha kwa faida lkn rfa tunaambiwa hata wafanyakazi hawapati mishahara yao (kutolipa wafanyakazi mishahara ni hatua ya mwisho kufilisika

Ndugu dialo anakwama wapi? Mimi nafahamu dialo anaukwasi wa kutosha tu kwanini asiajiri mtu atakayekuja kuendesha kampuni kwa faida!!

Kuna vijana wapo mtaani wamebobea kwenye kurun kampuni ambao ukiwapa nafasi lazima ndani ya miaka miwili uanze kuona matunda

Jifunze kwa kwa vyombo Kama IPP na clouds media ambao walikubali kufuata mtiririko wa kitaalamu kuendesha kampuni

Hiyo Sahara ukiwauzia watu wanaojua biashara ndani ya miaka mitano utaona jinsi biashara inafyofanywa
Huku Songea haisikiki tena twaambiwa kuna kifaa kimeharibika na hawana kela ya replacement
 
Ukifika pale sahara ilemela ndo utajuwa kuwa huyu Hamas ana pesa sana na kawekeza vizur sana shida inakuja kuwa yeye ndo mwenye radio yeye ndo mkurungenz yeye ndo meneja na hata mishahara halipi

Lakin jamaa ana pesa sana sijui hata ana kwama wapi huyu mwamba wa kisukuma
Hamas ndio Antony Diallo? Maana navyojua Diallo ndio kila kitu au
 
Wewe bwana Wambura Mtani acha kudevela kiivo ariff,umefanya utafiti wa aina gani kujua inaongoza kwa kuskilizwa?umetumia Sampling,Questionaire,Observation au Interview?Clouds FM ndo redio inayoskilizwa zaidi bongo na niya tatu kwa Africa nzima ukibisha nakuja na Evidence beyond Doubts.
 
Case sio Radio, issue ni pesa baba! Diallo anapumulia mashine!

Ushauri: Auze baadhi ya hisa za Sahara Media!
 
True that,hata kama sio ya kwanza ila kusikilizwa ila inasikilizwa kwa kiasi chake..labda tuseme hawana watangazaji wenye ushawishi mkubwa utakaovutia biashara..

Maana brand ni kitu muhimu sana..ndo maana clouds wanapata matangazo mengi makubwa maana kwenye vipindi vyao wanabrand kubwa
 
Ni kweli kabisa rfa inasikilizwa maeneo mengi japo kuna baadhi ya maeneo haisikiki nlienda songea home huko haipatkan kabisaa

Pili nadhan ubunifu pia Hakuna pale mtantangazaji mmoja anaweza endesha vpnd hata v3 Au 4 kwa siku lazima achoke

Tatu matangazo ya biashara Ndyo hasa huwalipa Wamiliki wa vyombo hivi yamepungua Sana hvyo kusababisha ukata kwa wafanyakaz

Watangazaji wengi na bora wameikimbia hii radio Kama sky walker fredwaa Sam kiama na baruan muhuza na wengneo wengi6

Kifup pale Pana ukata Wa kufa mtu watumish wengi Wa zamani wanaidai hii kampun
 
Hii redid rfa ndio redio pekee inayofika kila kijiji cha nchi hii inazidi hata TBC redio

Ni redio inasikilizwa sana, sina takwimu sahihi ila ni redio ambayo ni miongoni mwa redio inayosikilizwa sana pengine kuliko redio yeyote nchini, ni redio inayosikilizwa na kila rika kila aina ya watu waelewa wa mambo na wale wasiojua mambo mengi

Ukipita mtaani rfa inaunguruma Je inakwama wapi kibiashara? Angalia redio changa zinasikika mkoa mmoja tu wa dar es salam zinajiendesha kwa faida lkn rfa tunaambiwa hata wafanyakazi hawapati mishahara yao (kutolipa wafanyakazi mishahara ni hatua ya mwisho kufilisika

Ndugu dialo anakwama wapi? Mimi nafahamu dialo anaukwasi wa kutosha tu kwanini asiajiri mtu atakayekuja kuendesha kampuni kwa faida!!

Kuna vijana wapo mtaani wamebobea kwenye kurun kampuni ambao ukiwapa nafasi lazima ndani ya miaka miwili uanze kuona matunda

Jifunze kwa kwa vyombo Kama IPP na clouds media ambao walikubali kufuata mtiririko wa kitaalamu kuendesha kampuni

Hiyo Sahara ukiwauzia watu wanaojua biashara ndani ya miaka mitano utaona jinsi biashara inafyofanywa
Kuna sehemu(wilaya) hazishiki hata station moja ya Radio-mfano sikonge mjini. hakuna hata radio inashika huko
 
Wewe bwana Wambura Mtani acha kudevela kiivo ariff,umefanya utafiti wa aina gani kujua inaongoza kwa kuskilizwa?umetumia Sampling,Questionaire,Observation au Interview?Clouds FM ndo redio inayoskilizwa zaidi bongo na niya tatu kwa Africa nzima ukibisha nakuja na Evidence beyond Doubts.
Naomba facts broo
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom