Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,541
First time nasikia kwamba kuna janaba ya rohoni. Teh, teh,
janaba la rohoni ni dhambi.....hicho ndio kitu kikuu kabisa kinachopaswa kusafishwa,baada ya kifo,mwili huzikwa na kuoza lakini roho itahukumiwa kwa dhambi iliyotenda,hivyo basi tutoe janaba la rohoni.