Quran: Huyu Issa bin Maryam ni nani? Kwanini aitwe hivi?

Nitajibu kwa mujibu wa kiislamu tu.

Issa aliitwa bin Maryam kwa sababu hakuzaliwa kibaolojia kama wanandamu wengine kwa maana ya baba na mama kuunganisha mbegu za uzazi. Hivyo kwa mujibu kwa qur-an ALLAH anaposema jambo kuwa basi hilo jambo linakuwa( kun fayakun) . Kama vile alivyomuumba Adam hakuwa na mama wala baba ila aliweza kuwa banadamu wa kawaida tu.

Kutokana na kisa cha Issa bin Maryam ndio maana wale watoto wanaozaliwa bila wazazi kufunga ndoa mpaka leo kwenye uislamu huwa mtoto anapewa ubin wa mama yake na baba mzazi anakuwa hana haki naye kisharia. Kama ni mtoto wa kike hawezi kumuozesha wala huyo mtoto hawezi kupata mirathi ya huyo baba yake.

Naomba niishie hapo kwa leo.
asante,ila nakushauri uachane na upuuzi huu wa kiarabu na wale wakristo waache upuuzi wao wa kizungu
hakuna ushahidi wowote kuwa vitabu hivi vilikuwa inspired na mungu,nothing,nada,zero
mtu yoyote anaweza kuandika kitu chochote na akapata wajinga wengi wasiofikiria
 
Wenyewe wana muita YESU mwana WA MUNGU.
hapo hapo ukiwauliza jinsia ya mungu hawaijui.
kama ni mwanamke au mwanaume.
Sasa kwanini yesu awe mwana wa mungu wakati jinsia ya mungu hatuijui.
HUYO NI MTOTO WA MARIA.
AU ISSA BIN MARIAMU (A.S)

Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna mtoto anayepatikana bila mbegu za baba na mama
 
Salute
Mkuu Issa haina maana ya Yesu kwa lugha yoyote ile,Issa ni jina lingine linalohusu kitu kingine na lilitumiwa na mtu mwingine kabisa....

Yesu kwa Kiarabu ni Yeshu,sawasawa kabisa na Yesu kwa Kiebrania ambayo ni Yesh'ua..

Sijui wanaosema Issa ni Yesu wanataka kusema nini,lakini hata sifa zao tu ni tofauti.Issa ni mtoto wa mwanamke aliyeitwa Mariamu,alizaliwa chini ya mtende,alikuwa ni binadamu na alitumwa na mungu anayeitwa Allah na hakufa...

Yesu kwa upande mwingine ni Mungu aliyevaa umbo la mwanadamu,alizaliwa kwenye hori la kulishia Ng'ombe,mama yake ni mwanamke aliyeitwa Mariamu,ni mwokozi wa wanadamu maana alikufa kwaajili yao
Salute.
Mkuu unaweza ukanipa ushahid kuwa yesu kazaliwa kwenye zizi la ng'ombe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukitaka kujua hadithi ya yesu ni sanaa,angalia uzao unavyotofautiana kwenye mathayo na luka
Matthew 1 New International Version (NIV)
The Genealogy of Jesus the Messiah
1 This is the genealogy[a] of Jesus the Messiah[b] the son of David, the son of Abraham:


2 Abraham was the father of Isaac,
Isaac the father of Jacob,
Jacob the father of Judah and his brothers,

3 Judah the father of Perez and Zerah, whose mother was Tamar,
Perez the father of Hezron,
Hezron the father of Ram,

4 Ram the father of Amminadab,
Amminadab the father of Nahshon,
Nahshon the father of Salmon,

5 Salmon the father of Boaz, whose mother was Rahab,
Boaz the father of Obed, whose mother was Ruth,
Obed the father of Jesse,

6 and Jesse the father of King David.
David was the father of Solomon, whose mother had been Uriah’s wife,

7 Solomon the father of Rehoboam,
Rehoboam the father of Abijah,
Abijah the father of Asa,

8 Asa the father of Jehoshaphat,
Jehoshaphat the father of Jehoram,
Jehoram the father of Uzziah,

9 Uzziah the father of Jotham,
Jotham the father of Ahaz,
Ahaz the father of Hezekiah,

10 Hezekiah the father of Manasseh,
Manasseh the father of Amon,
Amon the father of Josiah,

11 and Josiah the father of Jeconiah[c] and his brothers at the time of the exile to Babylon.

12 After the exile to Babylon:
Jeconiah was the father of Shealtiel,
Shealtiel the father of Zerubbabel,

13 Zerubbabel the father of Abihud,
Abihud the father of Eliakim,
Eliakim the father of Azor,

14 Azor the father of Zadok,
Zadok the father of Akim,
Akim the father of Elihud,

15 Elihud the father of Eleazar,
Eleazar the father of Matthan,
Matthan the father of Jacob,

16 and Jacob the father of Joseph, the husband of Mary, and Mary was the mother of Jesus who is called the Messiah.

17 Thus there were fourteen generations in all from Abraham to David, fourteen from David to the exile to Babylon, and fourteen from the exile to the Messiah.


Luke 3:23-38 King James Version (KJV)

23 And Jesus himself began to be about thirty years of age, being (as was supposed) the son of Joseph, which was the son of Heli,

24 Which was the son of Matthat, which was the son of Levi, which was the son of Melchi, which was the son of Janna, which was the son of Joseph,

25 Which was the son of Mattathias, which was the son of Amos, which was the son of Naum, which was the son of Esli, which was the son of Nagge,

26 Which was the son of Maath, which was the son of Mattathias, which was the son of Semei, which was the son of Joseph, which was the son of Juda,

27 Which was the son of Joanna, which was the son of Rhesa, which was the son of Zorobabel, which was the son of Salathiel, which was the son of Neri,

28 Which was the son of Melchi, which was the son of Addi, which was the son of Cosam, which was the son of Elmodam, which was the son of Er,

29 Which was the son of Jose, which was the son of Eliezer, which was the son of Jorim, which was the son of Matthat, which was the son of Levi,

30 Which was the son of Simeon, which was the son of Juda, which was the son of Joseph, which was the son of Jonan, which was the son of Eliakim,

31 Which was the son of Melea, which was the son of Menan, which was the son of Mattatha, which was the son of Nathan, which was the son of David,

32 Which was the son of Jesse, which was the son of Obed, which was the son of Booz, which was the son of Salmon, which was the son of Naasson,

33 Which was the son of Aminadab, which was the son of Aram, which was the son of Esrom, which was the son of Phares, which was the son of Juda,

34 Which was the son of Jacob, which was the son of Isaac, which was the son of Abraham, which was the son of Thara, which was the son of Nachor,

35 Which was the son of Saruch, which was the son of Ragau, which was the son of Phalec, which was the son of Heber, which was the son of Sala,

36 Which was the son of Cainan, which was the son of Arphaxad, which was the son of Sem, which was the son of Noe, which was the son of Lamech,

37 Which was the son of Mathusala, which was the son of Enoch, which was the son of Jared, which was the son of Maleleel, which was the son of Cainan,

38 Which was the son of Enos, which was the son of Seth, which was the son of Adam, which was the son of God.
We jamaa hoja zako sijamuona mtu anayejibu, nahisi ni ngumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Issa Bin Maryam Ni Nabii tuanzie hapo naameitwa jina la mamaake kwasababu Hana Baba na katika uislam asiye julikana baba ake huitwa jina la mamaake Kama jina lake la pili .

Nakuhusu Nabii mwengine alieitwa jina lala mamaake hayupo Maana karibia wote walikuwa na baba zao.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jambo la muhimu kuzingatiwa hapa ni kuwa uko uongo mwingi na mkubwa sana ulioanzishwa tangu miaka ya 600 BC kuhusu huyu Issa bin Mariam wa Kuran kuwa ndiye Bwana Yesu Kristo/Mungu wa Biblia Takatifu. Si hivyo na wengi mno wameitenda hii dhambi ya kuusema huu uongo bila kutambua kuwa wanatenda dhambi.

600BC uongo tena juu ya Issa? Huyo Issa alitoka wapi enzi hizo? 600BC ni miaka 600 Kabla ya Kristo kuzaliwa (KK), na uislam wenyewe umeanza kati ya miaka 600 na 700 AD, yaani miaka 700 baada ya kristo kuzaliwa.
 
600BC uongo tena juu ya Issa? Huyo Issa alitoka wapi enzi hizo? 600BC ni miaka 600 Kabla ya Kristo kuzaliwa (KK), na uislam wenyewe umeanza kati ya miaka 600 na 700 AD, yaani miaka 700 baada ya kristo kuzaliwa.

Ilitakiwa iwe AD. Wewe hukuelewa kuwa dini ya mpinga Kristo Mungu imeanza lini?
 
Swala la imani za kidini ni tata sana!, swala la uwepo wake ni jepesi sana kuliamini.Tatizo kuu ni pale baadhi ya watu wanapojikabidhi mamlaka ya kuwashawishi watu kumtii kwa njia wanazozitaka wao!.Hapo ndipo baadhi ya watu wenye logic za ndani mfano Wachina wanapolikataa jambo hilo.Kihulasia kwa sisi wapagani (tusiokubali dini za mapokeo) tunaona mkanganyiko ulio wazi!.Kwani Kuhusu imani ya kuwa Mungu ndiye mwenye mamlaka makuu linaweza likaingia akilini,lakini pale walioanzisha imani hizo wanapojumlisha mienendo ya tamaduni zao kuwa ndio njia za kimaisha kwa waumini hapa si kweli!.Kwani inafika mahala ili uonekane muislam safi basi uishi kwenye tamaduni za kiarabu!,au mkiristo safi basi ukopi maisha ya kizungu!.Tuzinduke Waafrika,maswala ya imani yajikite kwenye kuaminisha ukuu wa mungu lakini njia za kuabudu wajichagulie watu kulingana na tamaduni zao!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom