Quote of the Month

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,832
287,782
"Huwezi kukwepa wajibu wako kama kiongozi. Uongozi kazi yake ni kuamua mambo mazito, na wakati wote unaweza kuwa na wasiwasi, lakini unaamua kwa maslahi ya taifa. Hata kama katika kuamua huko unahisi kuwa kuna baadhi watakulaumu. Usiogope lawama, dira yako iwe kuwa hii ni kwa manufaa taifa ama hapana. Manufaa ya Taifa sasa hivi ni kumaliza mpasuko wa Zanzibar. Lolote linalohitajika kumaliza mpasuko huo ni vizuri viongozi wakachukua uamuzi, utakuwa ni mgumu lakini ni wajibu wao kuchukua uamuzi."

~Judge J.S. Warioba
 
Uzuri wa hii Quote unaweza ukacheza nayo kidogo na bado ikawa na ujumbe mwingine mkubwa kwa muungwana.


"Huwezi kukwepa wajibu wako kama kiongozi. Uongozi kazi yake ni kuamua mambo mazito, na wakati wote unaweza kuwa na wasiwasi, lakini unaamua kwa maslahi ya taifa. Hata kama katika kuamua huko unahisi kuwa kuna baadhi watakulaumu. Usiogope lawama, dira yako iwe kuwa hii ni kwa manufaa taifa ama hapana. Manufaa ya Taifa sasa hivi ni kupambana na mafisadi. Lolote linalohitajika kumaliza ufisadi huo ni vizuri viongozi wakachukua uamuzi, utakuwa ni mgumu lakini ni wajibu wao kuchukua uamuzi."
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom