Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,254
- 33,838
CCM nao wanakubali kila kitu![HASHTAG]#NUKUU[/HASHTAG] "Kuna watu ni wabishi wa kuzaliwa sukari wanasema njugu, hawakubali maendeleo wanapinga kila kitu":- RC Manayara, Joel Bendera
CCM nao wanakubali kila kitu![HASHTAG]#NUKUU[/HASHTAG] "Kuna watu ni wabishi wa kuzaliwa sukari wanasema njugu, hawakubali maendeleo wanapinga kila kitu":- RC Manayara, Joel Bendera
Mh Bendera na Ukocha wapi na wapi Mkuu nakumbuka alikuwa waziri wa Habari na Michezo enzi za mhenga JK.Hivi ni huyu huyu aliyekuwa "kocha"wa Taifa stars aliyekuwa anahesabu kosa kosa langoni mwa timu pinzani na kudai timu "imebadilika" na kuimarika? Kama alishindwa kuleta tija ktk taaluma aliyosomea WHAT DO YOU EXPECT??!!!
Post sent using JamiiForums mobile app
Kumbukumbu zako siyo sawa mkuu, Bendera alishawahi kuwa kocha wa Taifa Stars.Mh Bendera na Ukocha wapi na wapi Mkuu nakumbuka alikuwa waziri wa Habari na Michezo enzi za mhenga JK.
Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
[HASHTAG]#NUKUU[/HASHTAG] "Kuna watu ni wabishi wa kuzaliwa sukari wanasema njugu, hawakubali maendeleo wanapinga kila kitu":- RC Manayara, Joel Bendera
Aisee kama hujuwi kuwa Bendera ndiyo alikuwa kocha wakati Tanzania inashiriki AFCON wewe basi utakuwa mhengaMh Bendera na Ukocha wapi na wapi Mkuu nakumbuka alikuwa waziri wa Habari na Michezo enzi za mhenga JK.
Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
Huo mkoa upo TZ?[HASHTAG]#NUKUU[/HASHTAG] "Kuna watu ni wabishi wa kuzaliwa sukari wanasema njugu, hawakubali maendeleo wanapinga kila kitu":- RC Manayara, Joel Bendera
Unajua unachosema au umetumwa kuja kubisha tu.Mh Bendera na Ukocha wapi na wapi Mkuu nakumbuka alikuwa waziri wa Habari na Michezo enzi za mhenga JK.
Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
Dah basi nilikuwa sijawa Mhenga basi maana nilianza kumjua wakati wa mhenga JK.Kumbukumbu zako siyo sawa mkuu, Bendera alishawahi kuwa kocha wa Taifa Stars.
Usijali mkuu, umeshaweka kumbukumbu kwa wajukuu wako, watakukumbuka kama mhenga wa enzi za JK.Dah basi nilikuwa sijawa Mhenga basi maana nilianza kumjua wakati wa mhenga JK.
Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app