mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
- Thread starter
- #21
hahahaa,"Huwezi kujisaidi huku kichwa kikiwa chini na makalio juu"by fiati.
Hapo newton anahusika
hahahaa,"Huwezi kujisaidi huku kichwa kikiwa chini na makalio juu"by fiati.
Hahahaa, mzee wako alikuwa anamaanisha nini...Mavi sio mibaa lakini ukiyakanyaga lazima uchechemee
by mshua wangu
swala la mahusianoHahahaa, mzee wako alikuwa anamaanisha nini...
nimecheka looh"Mi napenda ile mizigo mikubwa mikubwa, hawa wembamba labda 'itokee tuu' " By Shehe Kipoozeo.
Halafu kwa msisitizo anamalizia kwa kusema 'hatari sana'.
Kupanua nini Mkuu? Ikamilishe hiyo kauli.Kadri unavyopanua ndivyo watu wanavyotamani
.Mh.Anna Tibaijuka