SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Swali:
Inasadikika kwamba Adam na Hawa ndio binaadamu wa mwanzo.Baada ya uasi pale bustanini walilaaniwa na wote baadae walikufa.
Endapo wafu wote watafufuka leo hii na ukatakiwa uwatambue Adam na Hawa, je utatumia vigezo/kigezo gani kuwatambua?
Kazi kwenu!
Inasadikika kwamba Adam na Hawa ndio binaadamu wa mwanzo.Baada ya uasi pale bustanini walilaaniwa na wote baadae walikufa.
Endapo wafu wote watafufuka leo hii na ukatakiwa uwatambue Adam na Hawa, je utatumia vigezo/kigezo gani kuwatambua?
Assumption:
Mtu akifa hazeeki tena. hivyo akifufuka atarudia umbo na hali aliyokuwa nayo wakati anakufa
Kazi kwenu!