HT
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,897
- 414
watanzania tumekuwa walalamishi kuwa hakuna watu innovative wa kufany vitu vipya. Nikaona nijaribu kufanya survey kama ikitokea mtu aka develop software itanunulika?
Here we go, ungependa kuona software gani iko sokoni Tanzania na ungenunua kwa shilingi ngapi? Au consultancy ya kitu gani AFA ICT is concerned? Ungekuwa tayari kulipia kiasi gani per consultancy?
Serious please no puns and funny....
Here we go, ungependa kuona software gani iko sokoni Tanzania na ungenunua kwa shilingi ngapi? Au consultancy ya kitu gani AFA ICT is concerned? Ungekuwa tayari kulipia kiasi gani per consultancy?
Serious please no puns and funny....