Dread Pirate Roberts
Member
- Jul 22, 2017
- 43
- 20
usipoteze muda kuhangaika kupata hiyo Interface, kama lengo ni kutengeneza application utakayo ruhusu kupokea malipo, tumia Bitcoin. Uzuri wa hii ni kwamba in escrow account, transactions zinafanyika salama (encrypted) , anonymous (hakuna taarifa binafsi Inayohitajika kutumia). Biashara nyingi mtandaoni zinapokea malipo kutumia Bitcoin. Mafanikio mema!Wadau hii kitu nilikuwa nafuatilia ila sijaona progress yoyote, kuna yoyote mwenye news kama vodacom TZ watarelease API yao ya M-pesa. Najua airtel wana public API's ila sijui kama zinawork TZ, na sifahamu kitu kuhusu tigo.