Queen's 'favourite' Sophie Wessex will take on more royal responsibility after palace 'singled her out' to help 'ease the burden' of Megxit

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
1580099444853.jpeg

Countess of Wessex, 55, is set to take on more royal responsibility and represent the Queen, 93, at more engagements after Prince Harry, 35, and Meghan Markle's, 38, decision to step back from the royal family, insiders claim.

A royal source has revealed how the 'very popular' Countess has been chosen by Buckingham Palace to step into the spotlight in the coming months.

The source told The Sun: 'Sophie’s a long-term favourite of the Queen and has been singled out as a person the Palace would like to help ease the burden.'

Sophie, who is married to the Queen's youngest son Prince Edward, 55, has a particularly close relationship with her mother-in-law and already represents the Crown both at home and overseas.

As well as having a close relationship with the Queen, the source went on to explain that Sophie is 'very popular' with other senior royals including Prince Charles, 71, and the Duchess of Cornwall, 72.

It is believed Sophie is seen by the Queen as the Royal Family’s safest pair of hands, because her marriage to Prince Edward has lasted, while Charles, Anne and Andrew have all been divorced.

Last week, Sophie and Prince Edward spent her birthday serving the Queen alongside Prince William, 37, and Kate Middleton, 38, at a reception for the UK-Africa investment summit at Buckingham Palace.

She also visited Sierra Leone last week for a packed two-day solo trip – becoming the first royal to visit the continent since Prince Harry and Meghan’s African tour in October.

Speaking to FEMAIL last week, veteran royal reporter Phil Dampier, said Sophie had the 'potential to be a royal superstar'.

Predicting the Countess would take on more responsibility, he explained: 'I think she wants to do more and would happily step up to the plate and take over more duties if asked.'

It comes following months of seismic change for the Royal Family that saw Prince Andrew step back from public duties in the wake of his car crash Jeffrey Epstein TV interview, and the Sussexes' announcement that they would step back as senior royals.

Source: Daily Mail
 
... huyu Meghan huyu! Keshavuruga familia za watu!
Sana tu Charles ndiye the oldest waiting King in the world, bahati yake ni mbaya kuwa mama yake amerithi kiti akiwa na miaka 25 na yeye akiwa mtoto wa kwanza.
Malkia anakua mtu mzima sasa, Charles alitegemea watoto wake watamsaidia majukumu. Sasa Harry amejivua.

Hicho walichomfanyia Megani sijui ni kipi kikubwa ameapa hatakaa aishi Uingereza tena.
 
Sana ti Charles ndiye the oldest waiting King in the world, bahati yake ni mbaya kuwa mama yake amerithi kiti akiwa na miaka 25 na yeye akiwa mtoto wa kwanza.
Malkia anakua mtu mzima sasa, Charles alitegemea watoto wake watamsaidia majukumu. Sasa Harry amejivua.

Hicho walichomfanyia Megani sijui ni kipi kikubwa ameapa hatakaa aishi Uingereza tena.
... halafu mwisho wa siku ataishia kumbwaga hata huyo Harry mwenyewe! Hukawii kusikia mawakili wako mahakamani kushughulikia talaka! Pamoja na kwamba penzi lina nguvu, lakini kwa nafasi yake kuna factors nyingine nyingi Harry alitakiwa kuzizingatia pia ili mambo yaende.
 
... halafu mwisho wa siku ataishia kumbwaga hata huyo Harry mwenyewe! Hukawii kusikia mawakili wako mahakamani kushughulikia talaka! Pamoja na kwamba penzi lina nguvu, lakini kwa nafasi yake kuna factors nyingine nyingi Harry alitakiwa kuzizingatia pia ili mambo yaende.
Kinacho mfunga mdomo Charles, dogo alimuambia wewe ndiye ulisababisha maisha ya mama yangu yawe yalivyokua mpaka mauti kumfika. Akifika hapo si Malkia wala Charles wanajibu la kumjibu. Amewashupalia kuwa yeye akiwa kama mwanaume hatakubali hali ile impata Meghan.
 
Kinacho mfunga mdomo Charles, dogo alimuambia wewe ndiye ulisababisha maisha ya mama yangu yawe yalivyokua mpaka mauti kumfika. Akifika hapo si Malkia wala Charles wanajibu la kumjibu. Amewashupalia kuwa yeye akiwa kama mwanaume hatakubali hali ile impata Meghan.
... dogo jasiri kumbe; kaamua kuuacha ufalme na kuambatana na mkewe nao wamekuwa si wawili tena bali mwili mmoja! La muhimu ndoa yao idumu vinginevyo ikivunjika hususan mapema ataaibika sana.
 
... dogo jasiri kumbe; kaamua kuuacha ufalme na kuambatana na mkewe nao wamekuwa si wawili tena bali mwili mmoja! La muhimu ndoa yao idumu vinginevyo ikivunjika hususan mapema ataaibika sana.
Mashaka mengi yapo kwa dadaa kama ana mapenzi ya kweli maana dogo ameingia mazima.
 
Mashaka mengi yapo kwa dadaa kama ana mapenzi ya kweli maana dogo ameingia mazima.
... binafsi sina hakika na mapenzi ya huyo mwanamke wa kimarekani kama ni ya dhati. Kwanza alishakuwa kwenye ndoa ikavunjika. Linapokuja suala la ndoa ma-star hususan wa kimarekani wamekaa kisanii zaidi. Kwake la muhimu zaidi alishawahi "kuchungulia" royal family na amezaa "nao; hilo ndio la muhimu kuliko hiyo ndoa yenyewe. Full maigizo.
 
Sana tu Charles ndiye the oldest waiting King in the world, bahati yake ni mbaya kuwa mama yake amerithi kiti akiwa na miaka 25 na yeye akiwa mtoto wa kwanza.
Malkia anakua mtu mzima sasa, Charles alitegemea watoto wake watamsaidia majukumu. Sasa Harry amejivua.

Hicho walichomfanyia Megani sijui ni kipi kikubwa ameapa hatakaa aishi Uingereza tena.

Umeiona hii lakini
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
... kwamba William atamruka baba yake kwenye urithi wa kiti? Ngumu sana hiyo kwani sheria iko very clear! Otherwise, fake news.
Hii ilikua opinion ya watu wengi baada ya kifo cha Diana kumbe wameifikiria. Raia walisema baada ya kifo cha Peoples Princes ni kheri Camilla asije kuwa Queen.
 
Hii ilikua opinion ya watu wengi baada ya kifo cha Diana kumbe wameifikiria. Raia walisema baada ya kifo cha Peoples Princes ni kheri Camilla asije kuwa Queen.
... kama opinion za "watu" sawa ila ugumu unakuja kwamba ili kufanikisha hilo la kumruka Prince Charles ni lazima sheria ibadilishwe; hapo ndipo mtiti ulipo maana volumes by volumes za tangu stone age itabidi ziwekwe mezani ku-justify hoja. Sio mchezo.
 
Wabaguzi wale
Sana tu Charles ndiye the oldest waiting King in the world, bahati yake ni mbaya kuwa mama yake amerithi kiti akiwa na miaka 25 na yeye akiwa mtoto wa kwanza.
Malkia anakua mtu mzima sasa, Charles alitegemea watoto wake watamsaidia majukumu. Sasa Harry amejivua.

Hicho walichomfanyia Megani sijui ni kipi kikubwa ameapa hatakaa aishi Uingereza tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... kwamba William atamruka baba yake kwenye urithi wa kiti? Ngumu sana hiyo kwani sheria iko very clear! Otherwise, fake news.

Hii title ni kwa Scotland baina ya state and church
Kawaida huwa anakuwa mtu wa Scotland lakini sio mara ya kwanza cheo hiki kupewa mtu kutoka Royal Family
Will anaandaliwa tu kumrithi baba yake na sio kama Mfalme ajae kwa sasa
Maamdalizi ni kawaida
Huwa siandiki bila kujiridhisha

Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hii title ni kwa Scotland baina ya state and church
Kawaida huwa anakuwa mtu wa Scotland lakini sio mara ya kwanza cheo hiki kupewa mtu kutoka Royal Family
Will anaandaliwa tu kumrithi baba yake na sio kama Mfalme ajae kwa sasa
Maamdalizi ni kawaida


Sent from my iPhone using Tapatalk
William amekua nartured to be a King, hata maisha yake yote ni tofauti na mdogo wake. Harry anakwenda pub kupata pint au McDonald kula burger. Ninadhani hata Kate alipita vetting ya hali ya juu kabla ya ndoa kutangazwa.
 
Hii title ni kwa Scotland baina ya state and church
Kawaida huwa anakuwa mtu wa Scotland lakini sio mara ya kwanza cheo hiki kupewa mtu kutoka Royal Family
Will anaandaliwa tu kumrithi baba yake na sio kama Mfalme ajae kwa sasa
Maamdalizi ni kawaida


Sent from my iPhone using Tapatalk
... hapo umeeleweka.
 
William amekua nartured to be a King, hata maisha yake yote ni tofauti na mdogo wake. Harry anakwenda pub kupata pint au McDonald kula burger. Ninadhani hata Kate alipita vetting ya hali ya juu kabla ya ndoa kutangazwa.

Kweli kabisa kwani tangu alipozaliwa alianza kuandaliwa na kupikwa haswa
Wanajua kuwa Harry yuko mbali sana kwenye line of throne kwa hiyo hawakumjali sana ndio maana akawa ana uhuru zaidi


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom