Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,742
Nipo kwenye likizoya Uchaguzi nchi za watu. Mpaka Tanzania uchaguzi upite ndo ntarudi.
Nikiwa huku najikuta mara nyingi nataka niangalie TV series maana ndo ulevi wangu. Katka pita pita nikakutana na Queen Sono.
Ni Tv Series ya kipuuzi ambayo imeshindwa kabisa kuvalisha uhalisia waigizaji wake. Nimesikitika kupoteza muda kuiangalia na kudownload tena HD nikidhani ni Series ya maana.
Nikiwa huku najikuta mara nyingi nataka niangalie TV series maana ndo ulevi wangu. Katka pita pita nikakutana na Queen Sono.
Ni Tv Series ya kipuuzi ambayo imeshindwa kabisa kuvalisha uhalisia waigizaji wake. Nimesikitika kupoteza muda kuiangalia na kudownload tena HD nikidhani ni Series ya maana.