Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,350
- 217,391
Ukikubali cheo cha bure lazima ukubali na masharti ya mtoa cheo , Mtaka cha uvunguni sharti ainame
Ifahamike kwamba hapa duniani hakuna kitu cha bure , nipe nikupe , haiwezekani Magonjwa Mtambuka aliyepigania ccm kufa na kupona atelekezwe halafu upewe wewe ukuu wa mkoa bila masharti yoyote , hicho kitu hakuna
Sasa huyu dada siku yoyote msishangae mkimuona akikabidhiwa kadi ya ccm " kwa mara ya pili "
Ifahamike kwamba hapa duniani hakuna kitu cha bure , nipe nikupe , haiwezekani Magonjwa Mtambuka aliyepigania ccm kufa na kupona atelekezwe halafu upewe wewe ukuu wa mkoa bila masharti yoyote , hicho kitu hakuna
Sasa huyu dada siku yoyote msishangae mkimuona akikabidhiwa kadi ya ccm " kwa mara ya pili "