Sikucheki mama wa Fursa. Ulifanyaje?unanicheka mzee wa fursa sawa bhana
Ulevi huu ni zaidi ya virobaAkirudi lege mnibip
Ulevi huu ni zaidi ya viroba
Viroba ngada kabisa uoni watu wanadendekaaUlevi huu ni zaidi ya viroba
Hivii weee totolito huwezi jitoa mhanga kwa jamaa?Viroba ngada kabisa uoni watu wanadendekaa
Ungelikuwa unasoma kidogo kidogoo aaaa sasa hivi wewe ungekuwa hujamboodaah!!!! Mbio zote hadi nakesha JF kwasababu ya Monica, kumbe nimejileta shimoni mwenyewe, masikini Mimi.!
Yaani alosto inaumbua watu hapa vViroba ngada kabisa uoni watu wanadendekaa
Kijitoa mhanga kiveepee labda xjakuelewaa mkuu niendelezee story au maana naijua yoteHivii weee totolito huwezi jitoa mhanga kwa jamaa?
Noo dear i mean kumrejesha jamaa kwa maneno mazuriiiiìiiiiiiiiiiKijitoa mhanga kiveepee labda xjakuelewaa mkuu niendelezee story au maana naijua yote
Oyaaaa tuheshimiane mkuu mm co demuNoo dear i mean kumrejesha jamaa kwa maneno mazuriiiiìiiiiiiiiii
Si unajua
Tumekuwa tukitafuta sana mrembo wa hivyo hapa ila naona utatufaa mnoooò
Oyaaaa tuheshimiane mkuu mm co demu
Tatizo liko wapi mkuu unaona raha kunitafsiri utakavyo ila elewa mm me
Totolitoooooooooooo
Umechagua mwenyewe
Jina hilo ndugu