Nimejikuta tu naimba wimbo wa Solembaa"""Mpk leo lege
Fanya hivyo mkuuKuna huyu anaelekea ndiyo mwandishi nimempatia Facebook unatuma elfu3 anakutumia story yoyote ikiwemo hiyo queen monica ila anasema season ya 3'bado ndo ipo anaiandaa
Kwahiyo hapo tulipoishia ndio S2?Season ya 3 bado haijatoka wakuu,nadhani angetwambia tu ukweli
Pole kwa Ban asee!... HahaMpk leo lege
KhaaaaaaaHuyu LEGE ila iwe siri yenu tu usimwambie mtu nahisi atakuwa anafanya kazi na akina baba jesca hivo msihofu akimaliza tu mtamuona anatinga ndani ya nyumba (alafu ana kale ka kisingizio kake kale) Namnukuu:" Huku niliko mtandao unasumbua mh!!!"
unanicheka mzee wa fursa sawa bhanaPole kwa Ban asee!... Haha