Pengine ni siku ya unyakuo ukute Lege kashanyakuliwa sisi ndo tumebaki na jeiefu
HahahahhHatunaye tena!!!
mbavu zangu watu wana alosto lege eb jitokezePengine ni siku ya unyakuo ukute Lege kashanyakuliwa sisi ndo tumebaki na jeiefu
Hahhahaaa nitakutumia namba yakeHahaha mkuu, mimi nampenda sana Peniela pamoja na yote aliyoyafanya, yule mtoto sio mchezo, ananibamba mbaya. Ana sifa zote ninazohitaji. Love you Penny!!
Ni makusudi na maringo tuKuna mtu kamloga mkuu LEGE, mbona majukumu yanamzidi mpaka anatusahau?