mkuu labda nikuazime then unirudishieNiseme tu Lege hicho kitabu kama kinapatikana niko tayari nikipate kwahiyo nifanyie mchakato mkuu wewe mwenyewe unajuaga Uraibu wa hii kitu sasa mimi nao zaidi ya miaka 13 kwa hii story ya mtuhumiwa
Mkuu vipi, kwema? Nimekuja mbio nikidhani umekuja kutiririsha. Mungu akuepushe na yote yanayosababisha ushindwe kuweka muendelezo. Tunaendelea kusubiri huku tukikuombea.m
mkuu labda nikuazime then unirudishie
Halafu ile ya paniela ckuimaliza na kila niikitafuta siioni na cjui ntaipaje..msaada plzm
mkuu labda nikuazime then unirudishie
Umekuja mkuki, kama unamkimbiza unaemdaiMkuu vipi, kwema? Nimekuja mbio nikidhani umekuja kutiririsha. Mungu akuepushe na yote yanayosababisha ushindwe kuweka muendelezo. Tunaendelea kusubiri huku tukikuombea.
utaniita basUmekuja mkuki, kama unamkimbiza unaemdai
Hawa watu kazi yao ni kutuumiza mioyo, usiiwekee ratiba tena.
Mimi niko soba hausi, badala ya hizi stori nsjifunza kuangalia picha na series za kikolea
Kaka LEGE ile soon uliyosema badooopole sana mkuu soon naweka mwendelezo
Ntakuita ikitokea, lakini ameniahidi soon ataweka, sijui soon badoutaniita bas
Hahahhhhh soon bado we subili tuNtakuita ikitokea, lakini ameniahidi soon ataweka, sijui soon bado
Kuna nini kwenye huu uzi shunie?Hahahhhhh soon bado we subili tu
kuna story humu ya monica nzr isomeKuna nini kwenye huu uzi shunie?
Niko sehemu ya 9 nowkuna story humu ya monica nzr isome
isome tu tutakutana kwenye kusubiliNiko sehemu ya 9 now
Eeeh! Ipo sehemu ya 42 now!salaaaleeisome tu tutakutana kwenye kusubili