Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #61
Huyu dada ana brain nzuri sana. She's bright upstairs.Ni mjanja mjanja fulani hivi hana background nzuri sn
Huyu dada ana brain nzuri sana. She's bright upstairs.Ni mjanja mjanja fulani hivi hana background nzuri sn
Huyu dada ana brain nzuri sana. She's bright upstairs.
Siku kusema uchaguzi ulikuwa huru na haki ndiyo brain nzuri?Huyu dada ana brain nzuri sana. She's bright upstairs.
Hayo ni maoni yake na hauna mamlaka ya kumpangia nini cha kusema ilimradi tu hakusema tusi.Siku kusema uchaguzi ulikuwa huru na haki ndiyo brain nzuri?
Kwa hiyo kama hana matusi ndiyo brain kubwa? basi sawa mkuuHayo ni maoni yake na hauna mamlaka ya kumpangia nini cha kusema ilimradi tu hakusema tusi.
OkayKwa hiyo kama hana matusi ndiyo brain kubwa? basi sawa mkuu
mwana Macumb Show ndio nini tena?
OkayNgoja tuone...
Mrembo sana dada QueenHongera yake ni hatua nzuri
Mkuu nimesema natumai atakuwa na uwezo mkubwa.Sasa umefahamu vipi ana uwezo mkubwa!?
ILA AWE MWANGALIFU KULE IRINGA SIYO KUZURI. WATU WA IRINGA NI WAZURI SANA ILA UKIWAZINGUA WANAKUZINGUA KWELIKWELI. HAWACHELEWI KUKULAZA MAKABURINI KAMA ILIVYOKUWA WA ALLY HAPPYMambo vp jamiiforums
Hongera sana dada yangu kipenzi Queen Cuthbert Sendiga kutoka chama cha ADC kwa kuchaguliwa kuwa mkuu mpya wa mkoa (RC) wa Iringa. Mungu akakusimamie na kukupa muongozo sahihi kwa kuwatumia watanzania waishio katika mkoa huo.
Mama yetu kipenzi Rais Samia alisema atajumuisha watanzania wote katika uongozi wake bila kuangalia itikadi za vyama na hakika amefanya hivyo. Hongera sana Rais Samia Hassan. RC Queen tuna imani kubwa na wewe, usiwaangushe ndugu zetu wa Iringa.
==========
View attachment 1786016
==========
Wadau Facebook September 2020;
View attachment 1786020
==========
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mungu yupo na atamlinda dada QueenILA AWE MWANGALIFU KULE IRINGA SIYO KUZURI. WATU WA IRINGA NI WAZURI SANA ILA UKIWAZINGUA WANAKUZINGUA KWELIKWELI. HAWACHELEWI KUKULAZA MAKABURINI KAMA ILIVYOKUWA KWA ALLY HAPPY
KUNA MKUU WA MKOA NDUGU KLERRUU ALIWAZINGUA WAKAMZINGUA JUMLA.
Alisomaga na dada yangu chuo kimoja huyuHongera Queen
Hoja zake zinaonesha kuwa yupo makini sanaUmejuaje?
Maalim huyu marehemu mpenda teuzi au unamzungumzia Maalim mwingine?Ccm wanapenda kuwafanya wenzao wajinga. Kama huyo dada aligombania urais ameteuliwa kua mkuu wa mkoa na amekubali basi ni mdogo sanaaa. Kwa maana nyingine hana sifa ya kua rais sidhani kama lisu,mbowe au Maalimu anaweza kushangalia teuzi ndogo kama hii.
Maalim angalau alikuwa mwanasiasa makiniMaalim huyu marehemu mpenda teuzi au unamzungumzia Maalim mwingine?
RC Queen ni mrembo hakikaAlisomaga na dada yangu chuo kimoja huyu