Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
- Thread starter
- #21
π π π πππππ
π π π πππππ
π€π€π€π€Hapo ni sawa na kusema.
Watu wote billion 7+ ambao wapo hai duniani wamekwepa kifo na nina uhakika na hili kwa asilimia 100%.
Hapo hakuna tofauti kati ya hao 7+ billion na huyo putin.
Lazima kuna namnaQUANTUM IMMOTALITY
Wasaalam
kuna mtaalamu alipata kusema
"UBONGO WA MWANADAMU HAUJAWAHI KUWAZA KITU AMBACHO HAKIPO AU HAKIJAWAHI kuwahi KUWEZEKANA AU KUJA KUWEZEKANA"
kama hujanielewa kwenye nukuu hiyo utakuja na maswali mengi kwenye baadhi ya vipengele huko chini.
Tumejifunza vingi sana kuhusu maisha na vilivyo nyuma ya maisha ya kawaida
Na WAKATI MWINGINE inatakiwa tukubali kuwa kuna NGUVU nyingine inayoendesha na kutawala hii dunia yetu tofauti na ubidamu
Wazungu wamekuwa na michezo ya kutuchezea bongo zetu ,,,,kwa namna mbalimbali na kwa mambo ambayo hatukuwahi hata kuyafikiria
Dan Brown mwandishi nguli wa Vitabu vya fiction alipata kusema fiction nyingi huwa zinapenyeza ujumbe ulojificha
Sasa hapa utaongeza mwenyewe kama utaona kama fiction movies mfano wa movie za marvel nazo ziko kwa njia ya kufurahisha au kuleta na ujumbe pia
Ni wewe na imani zako, kwa sababu imenenwa imani huponya
Vladmir Putin, Raisi wa urusi ni kati ya watu wanaodhaniwa kuwa ni "immortal people" watu wasiokufa
View attachment 1680948
RAISI WA URUSI VLADMIR PUTIN
Ushawahi kusikia nadharia ya QUANTUM IMMORTALITY basi huyu bwana hio nadharia amehusishwa nayo sana
Quantum immortality ni uwezo wa kukwepa kifo hii inahusu uzoefu na uwezo binafsi wa kujua hatari za kifo na kukwepa ni kama inaelezwa pia ni kama kujiua kwa kiasi.
Wazo hili wakati mwingine linafikiriwa kuwa linatumika kwa sababu za ulimwengu ambao sio halisi (huu tuliopo sisi)
Wataalam wengi wanakazia kuwa jaribio au wazo linalohusiana na kukwepa kutokufa halitafanya kazi katika ulimwengu huu wa kweli tuliopo sisi.
Ni vyema ukaenda kwa mtandao kujifunza zaidi kuhusu hio nadharia. (wameelezea hadi namna inavyofanyika)
Watalamu wanoelezea nadharia hii wanasema kuwa watu wa mtindo huu wanauwezo wakutumia asilimia 50% ya ubongo.
ikumbukwe wataalamu wengine pia wana nadharia nyingine isemeyo binadamu wakawaida (yaani mimi na wewe ) tunatumia asilimia 2-1% tu ya uwezo wa bongo zetu
watu ambao wamefanya maajabu makubwa katika ulimwengu kwa gunduzi mbalimbali ,, mfano Albert Eistein, Isaac newton, Hawking na Nikola Tesla inaelezwa ndiyo baadhi waliojaribu kutumia japo aslimia 10%-15% ya bongo zao.
View attachment 1680950
NIKOLA TESLA
View attachment 1680951
SIR ISAAC NEWTON
Nadharia hiyo ilienezwa na mwandishi LOWELL THOMAS ,na kuna movie kadhaa zinaelezea nadharia hii...na zimejaribu kuonesha kama binadamu atatumia asilimia 100% ya ubongo wake mambo yatakuwa vipi
Lakini nadharia hio imepingwa na wanasayansi wengi wakiamin kila mtu ubongo wake unafanya kazi kwa asilimia 100%
Putin anahusishwa na nadharia hii kutokana na matendo mbalimbali ya ajabu ambayo anahusishwa nayo
Hata hivyo picha kadhaa zinamuonyesha na kudhaniwa alikuwepo toka mwaka 1920 na alipigana vita ya pili kama mwanajeshi
View attachment 1680952
Na hili baadhi ya watu ulimwenguni huliamini kutokana na Putin kuwa mwanajeshi kabla.
View attachment 1680953
Hatujui chochote kuhusu hii michezo ya wazungu kama ni ukweli au ni drama
TUNAHITAJI DONDOO ZAIDI ....
karibuni
DA'VINCI XV
Siku atakayo kufa huu uzi utafufuliwa..
Atakufa Tu ..Hilo ni uhakika
Nchi za kijamaa katika ubora wake
π π πNchi za kijamaa katika ubora wake
enhkama hamjui mlipo toka mtawezaje kumaintain mlipo na mtapo enda
iLazima kuna namna
sawa ila ni nadharia tuNapinga hii kwa kuwa Putin ni mzee kwa sasa, ningekuwa na kiasi cha imani hapa kama Putin angekuwa na muonekano wa kijana kama wa 30's kwa miaka mingi bila kwenda kwenye stage ya uzee lakini miaka yake iwe ni sawa na miaka ya wazee wengine
Kwa kuwa ni mzee hii ni ishara ya kwamba yuko kwenye safari ya kuelekea mwisho
sawa ila ni nadharia tuNapinga hii kwa kuwa Putin ni mzee kwa sasa, ningekuwa na kiasi cha imani hapa kama Putin angekuwa na muonekano wa kijana kama wa 30's kwa miaka mingi bila kwenda kwenye stage ya uzee lakini miaka yake iwe ni sawa na miaka ya wazee wengine
Kwa kuwa ni mzee hii ni ishara ya kwamba yuko kwenye safari ya kuelekea mwisho
Hio ya rais wa Urusi ni uongo mkubwa sana. Tena uongo mweupe.QUANTUM IMMOTALITY
Wasaalam
kuna mtaalamu alipata kusema
"UBONGO WA MWANADAMU HAUJAWAHI KUWAZA KITU AMBACHO HAKIPO AU HAKIJAWAHI kuwahi KUWEZEKANA AU KUJA KUWEZEKANA"
kama hujanielewa kwenye nukuu hiyo utakuja na maswali mengi kwenye baadhi ya vipengele huko chini.
Tumejifunza vingi sana kuhusu maisha na vilivyo nyuma ya maisha ya kawaida
Na WAKATI MWINGINE inatakiwa tukubali kuwa kuna NGUVU nyingine inayoendesha na kutawala hii dunia yetu tofauti na ubidamu
Wazungu wamekuwa na michezo ya kutuchezea bongo zetu ,,,,kwa namna mbalimbali na kwa mambo ambayo hatukuwahi hata kuyafikiria
Dan Brown mwandishi nguli wa Vitabu vya fiction alipata kusema fiction nyingi huwa zinapenyeza ujumbe ulojificha
Sasa hapa utaongeza mwenyewe kama utaona kama fiction movies mfano wa movie za marvel nazo ziko kwa njia ya kufurahisha au kuleta na ujumbe pia
Ni wewe na imani zako, kwa sababu imenenwa imani huponya
Vladmir Putin, Raisi wa urusi ni kati ya watu wanaodhaniwa kuwa ni "immortal people" watu wasiokufa
View attachment 1680948
RAISI WA URUSI VLADMIR PUTIN
Ushawahi kusikia nadharia ya QUANTUM IMMORTALITY basi huyu bwana hio nadharia amehusishwa nayo sana
Quantum immortality ni uwezo wa kukwepa kifo hii inahusu uzoefu na uwezo binafsi wa kujua hatari za kifo na kukwepa ni kama inaelezwa pia ni kama kujiua kwa kiasi.
Wazo hili wakati mwingine linafikiriwa kuwa linatumika kwa sababu za ulimwengu ambao sio halisi (huu tuliopo sisi)
Wataalam wengi wanakazia kuwa jaribio au wazo linalohusiana na kukwepa kutokufa halitafanya kazi katika ulimwengu huu wa kweli tuliopo sisi.
Ni vyema ukaenda kwa mtandao kujifunza zaidi kuhusu hio nadharia. (wameelezea hadi namna inavyofanyika)
Watalamu wanoelezea nadharia hii wanasema kuwa watu wa mtindo huu wanauwezo wakutumia asilimia 50% ya ubongo.
ikumbukwe wataalamu wengine pia wana nadharia nyingine isemeyo binadamu wakawaida (yaani mimi na wewe ) tunatumia asilimia 2-1% tu ya uwezo wa bongo zetu
watu ambao wamefanya maajabu makubwa katika ulimwengu kwa gunduzi mbalimbali ,, mfano Albert Eistein, Isaac newton, Hawking na Nikola Tesla inaelezwa ndiyo baadhi waliojaribu kutumia japo aslimia 10%-15% ya bongo zao.
Nadharia hiyo ilienezwa na mwandishi LOWELL THOMAS ,na kuna movie kadhaa zinaelezea nadharia hii...na zimejaribu kuonesha kama binadamu atatumia asilimia 100% ya ubongo wake mambo yatakuwa vipi
Lakini nadharia hio imepingwa na wanasayansi wengi wakiamin kila mtu ubongo wake unafanya kazi kwa asilimia 100%
Putin anahusishwa na nadharia hii kutokana na matendo mbalimbali ya ajabu ambayo anahusishwa nayo
Hata hivyo picha kadhaa zinamuonyesha na kudhaniwa alikuwepo toka mwaka 1920 na alipigana vita ya pili kama mwanajeshi
View attachment 1680952
Na hili baadhi ya watu ulimwenguni huliamini kutokana na Putin kuwa mwanajeshi kabla.
View attachment 1680953
Hatujui chochote kuhusu hii michezo ya wazungu kama ni ukweli au ni drama
TUNAHITAJI DONDOO ZAIDI ....
karibuni
DA'VINCI XV
QUANTUM IMMOTALITY
Wasaalam
kuna mtaalamu alipata kusema
"UBONGO WA MWANADAMU HAUJAWAHI KUWAZA KITU AMBACHO HAKIPO AU HAKIJAWAHI kuwahi KUWEZEKANA AU KUJA KUWEZEKANA"
kama hujanielewa kwenye nukuu hiyo utakuja na maswali mengi kwenye baadhi ya vipengele huko chini.
Tumejifunza vingi sana kuhusu maisha na vilivyo nyuma ya maisha ya kawaida
Na WAKATI MWINGINE inatakiwa tukubali kuwa kuna NGUVU nyingine inayoendesha na kutawala hii dunia yetu tofauti na ubidamu
Wazungu wamekuwa na michezo ya kutuchezea bongo zetu ,,,,kwa namna mbalimbali na kwa mambo ambayo hatukuwahi hata kuyafikiria
Dan Brown mwandishi nguli wa Vitabu vya fiction alipata kusema fiction nyingi huwa zinapenyeza ujumbe ulojificha
Sasa hapa utaongeza mwenyewe kama utaona kama fiction movies mfano wa movie za marvel nazo ziko kwa njia ya kufurahisha au kuleta na ujumbe pia
Ni wewe na imani zako, kwa sababu imenenwa imani huponya
Vladmir Putin, Raisi wa urusi ni kati ya watu wanaodhaniwa kuwa ni "immortal people" watu wasiokufa
View attachment 1680948
RAISI WA URUSI VLADMIR PUTIN
Ushawahi kusikia nadharia ya QUANTUM IMMORTALITY basi huyu bwana hio nadharia amehusishwa nayo sana
Quantum immortality ni uwezo wa kukwepa kifo hii inahusu uzoefu na uwezo binafsi wa kujua hatari za kifo na kukwepa ni kama inaelezwa pia ni kama kujiua kwa kiasi.
Wazo hili wakati mwingine linafikiriwa kuwa linatumika kwa sababu za ulimwengu ambao sio halisi (huu tuliopo sisi)
Wataalam wengi wanakazia kuwa jaribio au wazo linalohusiana na kukwepa kutokufa halitafanya kazi katika ulimwengu huu wa kweli tuliopo sisi.
Ni vyema ukaenda kwa mtandao kujifunza zaidi kuhusu hio nadharia. (wameelezea hadi namna inavyofanyika)
Watalamu wanoelezea nadharia hii wanasema kuwa watu wa mtindo huu wanauwezo wakutumia asilimia 50% ya ubongo.
ikumbukwe wataalamu wengine pia wana nadharia nyingine isemeyo binadamu wakawaida (yaani mimi na wewe ) tunatumia asilimia 2-1% tu ya uwezo wa bongo zetu
watu ambao wamefanya maajabu makubwa katika ulimwengu kwa gunduzi mbalimbali ,, mfano Albert Eistein, Isaac newton, Hawking na Nikola Tesla inaelezwa ndiyo baadhi waliojaribu kutumia japo aslimia 10%-15% ya bongo zao.
View attachment 1680950
NIKOLA TESLA
View attachment 1680951
SIR ISAAC NEWTON
Nadharia hiyo ilienezwa na mwandishi LOWELL THOMAS ,na kuna movie kadhaa zinaelezea nadharia hii...na zimejaribu kuonesha kama binadamu atatumia asilimia 100% ya ubongo wake mambo yatakuwa vipi
Lakini nadharia hio imepingwa na wanasayansi wengi wakiamin kila mtu ubongo wake unafanya kazi kwa asilimia 100%
Putin anahusishwa na nadharia hii kutokana na matendo mbalimbali ya ajabu ambayo anahusishwa nayo
Hata hivyo picha kadhaa zinamuonyesha na kudhaniwa alikuwepo toka mwaka 1920 na alipigana vita ya pili kama mwanajeshi
View attachment 1680952
Na hili baadhi ya watu ulimwenguni huliamini kutokana na Putin kuwa mwanajeshi kabla.
View attachment 1680953
Hatujui chochote kuhusu hii michezo ya wazungu kama ni ukweli au ni drama
TUNAHITAJI DONDOO ZAIDI ....
karibuni
DA'VINCI XV
shuqraani kwa mchango mkuukwa mimi ninavyofahamu kuwa , roho ya binadamu ndo inayojua kila jambo unalolitaka, la hata lisaa limoja baadae, ina majibu na maswali yote unayojiuliza, yaan kwa kifupi ina kila kitu ila sasa binadamu tumepotezwa tunaaminishwa kuwa akili zetu au bongo zetu ni kila kitu, na kuwa zinauwezo mkubwa kuliko ila ni big no, mifumo ya elimu ya dunia,ma vyombo ya habari yanatuondolewa uwezo wa kuisikia roho yetu inasema nn, so tunazidi kujiwekea ukuta ya kusikia roho zetu zinataka nn.
nadharia tu mkuuImmortality ni sifa characterised na kutokuzeeka (becoming old)--- mbona Putin anazeeka with passing time??!! hiw then can he be an immortal??? π
tutajuaje labda ndiyo kusema anaendelea kukwepa kifoπ π πMbona sasa hivi anaumwa na anakaribia kufa.