QUANTUM IMMOTALITY: Nadharia ya kukwepa kifo. Je, ni kweli Rais wa urusi PUTIN anaishi milele?

QUANTUM IMMOTALITY

Wasaalam

kuna mtaalamu alipata kusema
"UBONGO WA MWANADAMU HAUJAWAHI KUWAZA KITU AMBACHO HAKIPO AU HAKIJAWAHI kuwahi KUWEZEKANA AU KUJA KUWEZEKANA"

kama hujanielewa kwenye nukuu hiyo utakuja na maswali mengi kwenye baadhi ya vipengele huko chini.

Tumejifunza vingi sana kuhusu maisha na vilivyo nyuma ya maisha ya kawaida

Na WAKATI MWINGINE inatakiwa tukubali kuwa kuna NGUVU nyingine inayoendesha na kutawala hii dunia yetu tofauti na ubidamu

Wazungu wamekuwa na michezo ya kutuchezea bongo zetu ,,,,kwa namna mbalimbali na kwa mambo ambayo hatukuwahi hata kuyafikiria

Dan Brown mwandishi nguli wa Vitabu vya fiction alipata kusema fiction nyingi huwa zinapenyeza ujumbe ulojificha

Sasa hapa utaongeza mwenyewe kama utaona kama fiction movies mfano wa movie za marvel nazo ziko kwa njia ya kufurahisha au kuleta na ujumbe pia

Ni wewe na imani zako, kwa sababu imenenwa imani huponya


Vladmir Putin, Raisi wa urusi ni kati ya watu wanaodhaniwa kuwa ni "immortal people" watu wasiokufa

View attachment 1680948
RAISI WA URUSI VLADMIR PUTIN


Ushawahi kusikia nadharia ya QUANTUM IMMORTALITY basi huyu bwana hio nadharia amehusishwa nayo sana

Quantum immortality ni uwezo wa kukwepa kifo hii inahusu uzoefu na uwezo binafsi wa kujua hatari za kifo na kukwepa ni kama inaelezwa pia ni kama kujiua kwa kiasi.

Wazo hili wakati mwingine linafikiriwa kuwa linatumika kwa sababu za ulimwengu ambao sio halisi (huu tuliopo sisi)

Wataalam wengi wanakazia kuwa jaribio au wazo linalohusiana na kukwepa kutokufa halitafanya kazi katika ulimwengu huu wa kweli tuliopo sisi.

Ni vyema ukaenda kwa mtandao kujifunza zaidi kuhusu hio nadharia. (wameelezea hadi namna inavyofanyika)

Watalamu wanoelezea nadharia hii wanasema kuwa watu wa mtindo huu wanauwezo wakutumia asilimia 50% ya ubongo.

ikumbukwe wataalamu wengine pia wana nadharia nyingine isemeyo binadamu wakawaida (yaani mimi na wewe ) tunatumia asilimia 2-1% tu ya uwezo wa bongo zetu

watu ambao wamefanya maajabu makubwa katika ulimwengu kwa gunduzi mbalimbali ,, mfano Albert Eistein, Isaac newton, Hawking na Nikola Tesla inaelezwa ndiyo baadhi waliojaribu kutumia japo aslimia 10%-15% ya bongo zao.

View attachment 1680950
NIKOLA TESLA

View attachment 1680951
SIR ISAAC NEWTON

Nadharia hiyo ilienezwa na mwandishi LOWELL THOMAS ,na kuna movie kadhaa zinaelezea nadharia hii...na zimejaribu kuonesha kama binadamu atatumia asilimia 100% ya ubongo wake mambo yatakuwa vipi

Lakini nadharia hio imepingwa na wanasayansi wengi wakiamin kila mtu ubongo wake unafanya kazi kwa asilimia 100%

Putin anahusishwa na nadharia hii kutokana na matendo mbalimbali ya ajabu ambayo anahusishwa nayo

Hata hivyo picha kadhaa zinamuonyesha na kudhaniwa alikuwepo toka mwaka 1920 na alipigana vita ya pili kama mwanajeshi

View attachment 1680952

Na hili baadhi ya watu ulimwenguni huliamini kutokana na Putin kuwa mwanajeshi kabla.

View attachment 1680953

Hatujui chochote kuhusu hii michezo ya wazungu kama ni ukweli au ni drama

TUNAHITAJI DONDOO ZAIDI ....

karibuni

DA'VINCI XV
 
Hakuna mtu anaeogopa kifo kama putin. Yeye kazi kuua adui zake.

Toka corona ipo hatoki ana jengo maalum kuingia ofisini imetengenezwa corridor mvuke unampuliza kuua vijidudu ndio aingie job. Na ukitaka kumuona siku 14 karanti...
Aisee ..🤔🤔

Inatafakarisha
 
Kwamba akizeeka anaanza kurudi tena ujana, au anazaliwa kabla hajafa then ndio anakuwa au,,, hii ngumu sana
 
Reptiles are existing na pia kuna kilevi kinaitwa adrenachrome kinapatikana ktk damu ya binadamu kinasababisha longevity na kutozeeka kama nyoka wanavyojivua magamba na ukianza fatilia adrenachrome utakutana na pedophilia ring ambayo inahusika na kilevi hicho na kinachosikitisha ni kwamba watoto ndo wahanga wa hili
 
Reptiles are existing na pia kuna kilevi kinaitwa adrenachrome kinapatikana ktk damu ya binadamu kinasababisha longevity na kutozeeka kama nyoka wanavyojivua magamba na ukianza fatilia adrenachrome utakutana na pedophilia ring ambayo inahusika na kilevi hicho na kinachosikitisha ni kwamba watoto ndo wahanga wa hili
Tuombe uzima nitaleta, nyuzi kuwahusu kwa undani zaidi
 
kuna mtaalamu alipata kusema,

"UBONGO WA MWANADAMU HAUJAWAHI KUWAZA KITU AMBACHO HAKIPO AU HAKIJAWAHI kuwahi KUWEZEKANA AU KUJA KUWEZEKANA"

kama hujanielewa kwenye nukuu hiyo utakuja na maswali mengi kwenye baadhi ya vipengele huko chini.

Tumejifunza vingi sana kuhusu maisha na vilivyo nyuma ya maisha ya kawaida

Na WAKATI MWINGINE inatakiwa tukubali kuwa kuna NGUVU nyingine inayoendesha na kutawala hii dunia yetu tofauti na ubidamu

Wazungu wamekuwa na michezo ya kutuchezea bongo zetu ,,,,kwa namna mbalimbali na kwa mambo ambayo hatukuwahi hata kuyafikiria.

Dan Brown mwandishi nguli wa Vitabu vya fiction alipata kusema fiction nyingi huwa zinapenyeza ujumbe ulojificha.

Sasa hapa utaongeza mwenyewe kama utaona kama fiction movies mfano wa movie za marvel nazo ziko kwa njia ya kufurahisha au kuleta na ujumbe pia.

Ni wewe na imani zako, kwa sababu imenenwa imani huponya

Vladmir Putin, Raisi wa urusi ni kati ya watu wanaodhaniwa kuwa ni "immortal people" watu wasiokufa......
 
Back
Top Bottom