menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
Habarini wadau,
Leo nilitembelea Quality Centre Mall kwa ajili ya manunuzi ya hapa na pale aisee nilicho kukuta kimenishtua sana. Ni miaka sijaenda pale hivyo picha niliyokuwa nayo ilikuwa ni ile ya enzi zile pakiwa pamoto balaaa! Hakika panasikitisha mno.
Vyoo ni vibovu, maduka mengi yamefungwa, jengo asilimia kubwa ni giza. Kwakweli hali ya Quality Centre Mall inasikitisha sana.
Kwa taarifa nilizopata nikuwa jengo liko sokoni linauzwa.
Leo nilitembelea Quality Centre Mall kwa ajili ya manunuzi ya hapa na pale aisee nilicho kukuta kimenishtua sana. Ni miaka sijaenda pale hivyo picha niliyokuwa nayo ilikuwa ni ile ya enzi zile pakiwa pamoto balaaa! Hakika panasikitisha mno.
Vyoo ni vibovu, maduka mengi yamefungwa, jengo asilimia kubwa ni giza. Kwakweli hali ya Quality Centre Mall inasikitisha sana.
Kwa taarifa nilizopata nikuwa jengo liko sokoni linauzwa.