Quality ipi ni nzuri ya A4 ream paper?

alikhalef

JF-Expert Member
Jan 6, 2012
717
74
Habari wakuu
A4 ream paper ya aina ipi ni nzuri hapa tanzania?
na bei zake zinaendaje?
natanguliza shukrani,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Ukipata Double A ni balaa....(Ila hazipatikani kirahisi)

Ila Number 1 pia ni nzuri hata Dolphin...
 
Habari!
Vipi Bei ya carton kwa bei ya jumla kwa dar ni bei gani kwa carton maanake nataka carton nyingi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom