Quality Group yamaliza utata kuhusu sukari nchini

Kaeni tayar kuwapokea wahindi mambumbumbu ila wakiitwa wataalam kama wale wa American supermarket
Hii ndio point kubwa siipendi miradi ya wahindi na waarabu hapo watajazana wahindi kutoka Bombay Delhi Punjab kwenye nafasi zote za juu za kati mbongo ataishia shambani huko kukata miwa.

Muhindi anaweza nae kukata miwa sawa na mbongo akalipwa mara tatu ya mbongo bora uwekezaji wa African Chinese European American hawa wananjaa tu na uswahili mwingi kama sisi wala hatuchekani.
 
Hii ndio point kubwa siipendi miradi ya wahindi na waarabu hapo watajazana wahindi kutoka Bombay Delhi Punjab kwenye nafasi zote za juu za kati mbongo ataishia shambani huko kukata miwa.

Muhindi anaweza nae kukata miwa sawa na mbongo akalipwa mara tatu ya mbongo bora uwekezaji wa African Chinese European American hawa wananjaa tu na uswahili mwingi kama sisi wala hatuchekani.
Mkuu pole sana kwa ubaguzi. But watu wenye asili ya asia si ndio wawekezaji wakubwa zaidi nchini?! Unaweza usiwe sahihi....
 
Mkuu pole sana kwa ubaguzi. But watu wenye asili ya asia si ndio wawekezaji wakubwa zaidi nchini?! Unaweza usiwe sahihi....
Wala sina ubaguzi Mkuu nafikiri unakumbuka waziri wa ajira kipindi kile anaingia wizarani alivyowatimua wale wavietnam waliokua wamejazana Halotel wanafanya mpaka kazi za usafi na drivers Kitu ambacho kinaweza kufanywa na mtanzania.

Zipo policy zilizowekwa kwenye uwekezaji kuajiri huwezi kumtoa mtu India kuja kufanya kazi ambazo vijana wetu wa Tanzania wamesomea na wapo maelfu mtaani wanatafuta ajira alafu muwekezaji anaagiza mfanyakazi nje hiyo sio kisheria.

Anaruhusiwa kumuajiri mtu ambaye professional yake haipo Tanzania na akishamleta atamfundisha mtanzania huo ujuzi akishaufahamu anatakiwa kuondoka mtanzania ashike nafasi lakini hawa wahindi kwenye investment zao wanaletana wote.
 
Unamuweka Rockefeller family na Bill Gates na Donald Trump ni sawa na kuiweka US na Commoro na Zanzibar.

Mkuu nimeyasema haya kama tahadhali - hawa jamaa wana mbinu nyingi sana ya kutaka kuchota akili wananchi na Serikali yetu - wasitumie umaskini wetu kutuzuga!! We mtu anakwambia atajenga viwanda vitatu kwa mpigo kwa ajili ya ku process sukari na sisi tunamkubalia tu bila ya kuhoji maswali magumu - viwanda vya Sukari sio kama viwanda vya kujaza soda kwenye chupa ambavyo inahitaji tu kuchanganya CocaCola concentrates, maji,carbon dioxide na ku bottle mchanganyiko huo, watu ambao hawajui what it takes kujenga kiwanda, kuweka mitambo lukuki, kulima mashamba ya miwa kwa kutumia mbegu maalumu za miwa zinazo uzwa kwa bei mbaya, madawa ya kuzuia wadudu na virus mambo chungu mzima - wasio jua vizuri masuala ya Sugar Industry ndio wanaweza kudanganyika kirahisi!! Alafu anajitokeza mtu kumzuga Rais eti anaweza kujenga viwanda vitatu kwa mpigo - angesema kujenga viwanja vya mpira tungemuelewa.

Mambo mengine ukiyafikiria sana utashangaa, mtu anakuja hapa anasema eti anaweza kujenge kiwanda kwa mtaji wa $10million - kiwanda gani hicho? labda miniplant kama cha Manyara au viwanda vilivyo wahi kutumika/second hand kutoka huko India - simsemi vibaya lakini aache kuzuga watu.
 
bil 21 tu!, / kumbe viwanda hivi ni very cheap!.sio kama cha cements.

Mkuu hakuna kitu kama hicho, labda anazungumzia make shift viwanda/backyard hivyo hata akina mama wa PEMBA wanatumia masufuria kuchemshia juice ya sucrose vikifuatia vikolomboizo vingine mpaka kufikia hatua ya mwisho sukari inapatikana.
 
acheni iuzwe 2500/- process zake!.
***
Sugar Production from
Sugar Cane
The basic process
Sugar cane must be crushed to
extract the juice. The crushing
process must break up the hard
nodes of the cane and flatten the
stems. The juice is collected,
filtered and sometimes treated and
then boiled to drive off the excess
water. The dried cane residue
(bagasse) is often used as fuel for
this process. The remaining liquid
is allowed to set into a solid mass
known as jaggery, gur, chancaca
or panela. (Gur is used in the rest
of this document.)
Yields
The yield of gur from sugar cane
depends mostly on the quality of
the cane and the efficiency of the
extraction of juice. The table
below gives some extreme values.
High quality cane Poor quality cane
Juice per 100kg of cane 50kg 40kg
% sugar in juice 22 17
Gur per 100kg of cane 10kg
 
Heko Manji, kazi nzuri ajira kwa vijana wetu.
Huyu Manji wala simwamini kama kuinunua tu Yanga ashatengeneza figisu figisu za kufa mtu,haaaa......eti mpaka vijana wamenunuliwa ili wakaunge mkono ununuzi wa klabu
Ngoja tuone hivyo viwanda Mungu nipe uhai nione mengi!!!
 
Mkuu hakuna kitu kama hicho, labda anazungumzia make shift viwanda/backyard hivyo hata akina mama wa PEMBA wanatumia masufuria kuchemshia juice ya sucrose vikifuatia vikolomboizo vingine mpaka kufikia hatua ya mwisho sukari inapatikana.
Kiwanda cha sukari kinahitaji mtaji wa tshs ngapi
 
Huyu Manji wala simwamini kama kuinunua tu Yanga ashatengeneza figisu figisu za kufa mtu,haaaa......eti mpaka vijana wamenunuliwa ili wakaunge mkono ununuzi wa klabu
Ngoja tuone hivyo viwanda Mungu nipe uhai nione mengi!!!
Quality Group hainunui Yanga.
 
Mkuu nimeyasema haya kama tahadhali - hawa jamaa wana mbinu nyingi sana ya kutaka kuchota akili wananchi na Serikali yetu - wasitumie umaskini wetu kutuzuga!! We mtu anakwambia atajenga viwanda vitatu kwa mpigo kwa ajili ya ku process sukari na sisi tunamkubalia tu bila ya kuhoji maswali magumu - viwanda vya Sukari sio kama viwanda vya kujaza soda kwenye chupa ambavyo inahitaji tu kuchanganya CocaCola concentrates, maji,carbon dioxide na ku bottle mchanganyiko huo, watu ambao hawajui what it takes kujenga kiwanda, kuweka mitambo lukuki, kulima mashamba ya miwa kwa kutumia mbegu maalumu za miwa zinazo uzwa kwa bei mbaya, madawa ya kuzuia wadudu na virus mambo chungu mzima - wasio jua vizuri masuala ya Sugar Industry ndio wanaweza kudanganyika kirahisi!! Alafu anajitokeza mtu kumzuga Rais eti anaweza kujenga viwanda vitatu kwa mpigo - angesema kujenga viwanja vya mpira tungemuelewa.

Mambo mengine ukiyafikiria sana utashangaa, mtu anakuja hapa anasema eti anaweza kujenge kiwanda kwa mtaji wa $10million - kiwanda gani hicho? labda miniplant kama cha Manyara au viwanda vilivyo wahi kutumika/second hand kutoka huko India - simsemi vibaya lakini aache kuzuga watu.
Huyu ni mzee wa madili ana maskendo kibao ya ufisadi enzi na enzi alikua amemzoea kikwete juzi eti anamlazimisha Magufuli kuharakisha hatma ya coco beach kabla hajatoka kuwa mwenyekiti wa QG coco beach iwe imeshaeleweka hivi kwa akili za kawaida unaweza kumforce rais achangamke kwa matakwa yako binafsi ndio nikajua jamaa anapenda kunyenyekewa na kutetemekewa kila siku yanga wanapewa tumbo joto mara atangaze Kung'atuka mara aite wajumbe Mara atake kukodi club yaani ni vituko

Amesikia tu ssb anapewa maekari ya sugar plants kesho yake tunashangaa jambo leo gazeti lake na magazeti machache yanatoa hii Habari ya viwanda viwili sijui hata press conference aliitisha sangapi au ni tangazo tu amelipia.

Na hapa sijui itakuwaje sababu na kuna mfuko wa hifadhi ya jamii nao unaweleza kwenye viwanda vya sukari ambavyo vitaondoa kabisa upungufu wa sukari nchini sijui ushindani itakuwaje.
 
ujenzi wa viwanda umefikia wapi?tupeane update na vp maendeleo juu ya ujenzi wa stone town village,au kile kiwanda cha kuassemble matrekita moro.
 
Naona Vita ya kumuingia mkuu wa kaya bado IPO.na ni kubwa tu.yeye ni nani asiingilike!
Tabaka la wafanyabiashara mara zote hujitahidi kujenga urafiki na serikali. Na ikitokea wafanyabiashara wakifanikiwa kujenga urafiki huo wanaoumia ni wananchi wa kawaida. Silaha waliyonayo wananchi wa kawaida ili wasiumizwe na wafanyabiashara ni kufanya regime change. Ikitokea regime change, wafanyabiashara wanaanza tena kutafuta namna ya kuishika serikali mpya. Mchezo unaendelea. Kwa Tanzania mfumo wa kubadilisha utawala kila baada ya miaka kumi kina faida sana kwa wananchi. Tatizo serikali ikiwabana wafanyabiashara ili wasiwanyonye wananchi wao wanainyooshea vidole, wanafikiri serikali haiwatendei haki wafanyabiashara.
 
Viwanda vyaja kwa mwendo wa mbio huku uwezo wa wananchi kununua bidhaa ukiporomoka.

Mi mwenyewe nilitaka kufungua kiwanda cha kuzalisha 'halwa na vibaba' lakini...ngastuka!
 
Where do we get those facts?

Nachoshangaa ni wanaojiita watanzania kwa maneno wakati matendo yao si ya kitanzania. Kwa nini zinapokuja habari za kujenga uchumi wa nchi hujitokeza mijitu humu jf kupinga hata bila sababu za msingi? Hebu oneni wakenya wanavyofagilia miradi yao ya maendeleo, utadhani hawana uhasama wa kisiasa. Acheni siasa uchwara, Tanzania ni zaidi ya upinzani wa kisiasa. Mnakera sana na mnashusha sana hadhi iliyojijengea JF. Limegeuka jukwaa la kupinga kila jambo kwa hoja za hovyo kabisa. Great thinker mwingine keshaleta mambo ya Usimba na uyanga hapa!! Mtakua lini ninyi?
 
Back
Top Bottom