Qt

Mi binafsi naomba kuuliza hiii elim ya qt ikoje na katka mfumo upi na mitihan yake inatoka Kam ya kawaid au?
Nachojua kimoja kuhusu QT ni kuwa unasoma elimu ya sekondari kwa miaka miwili yaani F1&2 MWAKA WA KWANZA NA F3&4 MWAKA wa pili...
Kuhusu mitihani nadhani ni ya kawaida tu...japo sina hakika kama inakuwa na utofauti
 
QT - QUALIFYING TEST.
NI MASOMO YANAYOMWEZESHA MTU KUPATA SIFA ZA KUFANYA MTIHANI WA FORM 4 MARA NYINGI HUSOMWA NA WATU WENYE UMRI MKUBWA HIVYO HAWAWEZI KUFUATA MFUMO RASMI MIAKA YOOTE 4 NA KUSOMA MUDA WOOTE.HIVYO HUSOMA KWA PART TIME TU.
 
QT - QUALIFYING TEST.
NI MASOMO YANAYOMWEZESHA MTU KUPATA SIFA ZA KUFANYA MTIHANI WA FORM 4 MARA NYINGI HUSOMWA NA WATU WENYE UMRI MKUBWA HIVYO HAWAWEZI KUFUATA MFUMO RASMI MIAKA YOOTE 4 NA KUSOMA MUDA WOOTE.HIVYO HUSOMA KWA PART TIME TU.
Mitihan yake inatoka kw mfumo gan
 
Mtihani wa Qt huwa na maswali 100 yatokanayo na masomo matano kati ya kumi yatungiwayo mtihani.masomo ya lazima ni mawili yahani geography na history.mengine matatu ili kukamilisha idadi ya matano ni chaguo la mhusika.kumbuka kuna masomo hayachanganywi bali kinachofuatwa ni kutengeneza comb.mfano ukiamua kusoma art hiwezi chukua kiswahili English na physics Bali itabidi uongeze civics kama somo la tano.
 
Mtihani wa Qt huwa na maswali 100 yatokanayo na masomo matano kati ya kumi yatungiwayo mtihani.masomo ya lazima ni mawili yahani geography na history.mengine matatu ili kukamilisha idadi ya matano ni chaguo la mhusika.kumbuka kuna masomo hayachanganywi bali kinachofuatwa ni kutengeneza comb.mfano ukiamua kusoma art hiwezi chukua kiswahili English na physics Bali itabidi uongeze civics kama somo la tano.
Nakuelew mkuuu
 
Back
Top Bottom