Q-NET naomba pesa yangu milioni 5, nimenunua saa mpaka sasa najuta kuwafahamu

Yaani elimu yoote iliyomwagwa hapa still unataka kuwekeza pesa zako huko?
Wonders will never cease!
Mimi kuna jamaa yangu alitaka nijiunge akanipa darasa nianze kununua Bio-disc nikamwambia sina pesa nikopeshe nikianza kupata nitakulipa basi ikawa ndiyo goodbye
 
Nimepigwa na hawa wezi wa Qnet wamenishawishi nikaingia nikanunua SAA mil 5 nitapata Mara mbili zaidi ya hapo.

Naomba mnipe pesa zangu tutauwana Mwaka huu mil 5 hivi hivi, then mpaka sasa bila bila nitakuja ofisini kwenu na polisi mambo ya utapeli iwe mwisho kabisa.
usilalamike kijana qnet iko poa sema ina hitaji mda sana na wateja wa mara kwa mara kama umetoa pesa halafu unakaa nyumbani usitegeme kuwa utapata cha msingi tafuta mwenzako na yeye atoe milioni tano ili upate commision
 
usilalamike kijana qnet iko poa sema ina hitaji mda sana na wateja wa mara kwa mara kama umetoa pesa halafu unakaa nyumbani usitegeme kuwa utapata cha msingi tafuta mwenzako na yeye atoe milioni tano ili upate commision
Duuuh 5m???....ndi upate kamishen???....u guys are not serius
 
Tufanye Kazi tupate hela halali, Acheni kutafuta Shortcuts. Idiots. Kwanza mm nikishaona tu mshikaji wangu wa zamani akinipigia simu, " bwana nataka tuonane nina jambo nataka tuongee" hua nina block namba kabisa.
 
Hahahaha. Nimejikuta nacheka peke yangu. Kwaiyo wakakuambia ununue saa kwa million 5 afu watakupa million 10?so you mean Qnet ni charity organisation? Au hujatupa maelezo ya kutosha?
 
Good morning partner.....
Kwa kiswahili rahisi...QNET ni kikundi cha Matapeli......Yaani unatapeliwa kwanza...kisha unapewa mafunzo ya utapeli ili umtapeli MTU wako wa karibu ndiyo ulipwe kamisheni...
Fact
 
  • Thanks
Reactions: cdc
Hahahaha. Nimejikuta nacheka peke yangu. Kwaiyo wakakuambia ununue saa kwa million 5 afu watakupa million 10?so you mean Qnet ni charity organisation? Au hujatupa maelezo ya kutosha?
Dah..... Dah yaani unafanya unafanya manunuzi ya bidhaa kwa Bei Mara 10 zaidi ya thamani Yake Sokoni ambayo haipungui 5m ndiyo unaingia....kisha utafute watu wengine 2 wafanye manunuzi ya 10m ndiyo upewe laki 4.... Yaani Chini ya 3% ya biashara uliyofanikisha
 
  • Thanks
Reactions: cdc
Dah..... Dah yaani unafanya unafanya manunuzi ya bidhaa kwa Bei Mara 10 zaidi ya thamani Yake Sokoni ambayo haipungui 5m ndiyo unaingia....kisha utafute watu wengine 2 wafanye manunuzi ya 10m ndiyo upewe laki 4.... Yaani Chini ya 3% ya biashara uliyofanikisha
Me wameniita mara 2 nikaenda na semina yao nimesikiliza lakini zote nimewatosa
 
QNET na D9 ni hao hao tu. Wanatafuta mpumbavu mmoja ili awasaidie kupata wapumbavu wengine.
Hawatafuti wajinga bali wapumbavu. Mjinga akielewa atachomoka, lakini mpumbavu hana tiba.
Sorry for the strong words. Wakati mwingine inabidi tu!
ukweli unao umma ukiwakosoa tu matusi utakayokula utatamani kuwapeleka polisi
 
Back
Top Bottom