mgosani
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 1,005
- 1,136
Mimi kuna jamaa yangu alitaka nijiunge akanipa darasa nianze kununua Bio-disc nikamwambia sina pesa nikopeshe nikianza kupata nitakulipa basi ikawa ndiyo goodbyeYaani elimu yoote iliyomwagwa hapa still unataka kuwekeza pesa zako huko?
Wonders will never cease!