Wu-Ma
Senior Member
- Dec 1, 2017
- 113
- 277
Hao jamaa ni wezi, watu kumi mjiunge Kwa 5mill hyo tayar ni 50 mil, in return Kwa watu hao kumi haifiki hata 2mill, ko 48 mill imepigwa hapo, wakata in real sense hyo 50 mill Kwa watu kumi mkijichanga mwaweza kufanya kitu kikubwa Sana ,Kimsingi hawa jamaa sio wezi. Ukifuata vile wanavyotaka pesa unapata. Swali ni kwamba kuna watanzania wangapi ambao wanaweza kuwa na chain ya watu labda kumi ambao watakua tayari kutoa mil 4.5/5 kila mmoja ili uweze kupata pesa?
Iko hivi... Hii ni biashara ya mtandao kama inavyojieleza. Unatengeneza mtandao wako na pesa inaingia kutokana na ukubwa wa mtandao unaoutengeneza. Ukishindwa kutengeneza mtandao huwezi pata pesa.
Kwa muktadha huo huwezi kuwashitaki kwa sbb baada ya kutoa pesa kazi inabaki kwako sasa ulete watu mtandao wako ukue nawe upate pesa. Na jamaa wako wazi kabisa tangu mwanzo.
Tatizo ninaloliona na ukurupukaji na tamaa ya pesa nyingi.
Kwa maoni yangu ni kwamba hii sio biashara haifai kwa nchi masikini kwa sbb watu wengi wanaingia kichwa kichwa na mwisho wa siku wanalalamika kuwa wamepigwa.